PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,074
- 1,857
Kwa mujibu wa maelekezo ya ofsi ya waziri mkuu, mpango huu kwa mafundi kupitia VETA, mafunzo ambayo yanatolewa kwa miezi 3 na kugharamikiwa na serikali, kwa Kila mwanafunzi aliyechaguliwa anapaswa kulipwa elfu 50 Kila mwezi akiwa mafunzoni, lakini khari imekuwa tofauti, wanafunzi hawa wanafundishwa ndani ya wiki moja na kuambiwa wasubili vyeti vya kurasimishwa. Swali la kujiuliza, pesa ya accommodation inayotolewa na serikali inaishia wapi? Maana hawa wanafunzi hawajalipwa zaidi ya kurudishiwa nauli walizotumia kwenda kulipoti harimashauri kwenye ofsi za VETA
Viongozi fuatilieni hili