Waziri mkuu kwenye ziara.!!

Hivi wale wa the comedy walihamia TBC?
 
Ziara ni sawa sana.
ISIPOKUWA usalama wa PM usiwe compromised AT ALL kwa kumwingiza mtumbwini BILA LIFE JACKET shingoni ili kufanya PHOTO SESSION.
Hilo ni KUHATARISHA maisha yake.
Na halina majadiliano!
umefanya vyema kumtetea unfortnatly yeye halijui hilo
 
Mbona humo kama waliingia kupiga picha tu, Nimefurahi na kumwona Prof Mwandosya.
 
Ziara ni sawa sana.
ISIPOKUWA usalama wa PM usiwe compromised AT ALL kwa kumwingiza mtumbwini BILA LIFE JACKET shingoni ili kufanya PHOTO SESSION.
Hilo ni KUHATARISHA maisha yake.
Na halina majadiliano!
Hao mabody guard wake hawakuliona hili kweli, maana nao hawakuwa na wasiwasi kabisa!
 
Huo ulikuwa uzinduzi wa mv sa$@%€¥£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…