Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,333
- 7,486
Taka taka za Mwendawazimu hizi, CCM haishiwi UOZO..!Rais ni buheri wa afya,anachapa kazi.Mlitaka aende feri au Kariakoo?🤡🤡🤡
Taka taka za Mwendawazimu hizi, CCM haishiwi UOZO..!Rais ni buheri wa afya,anachapa kazi.Mlitaka aende feri au Kariakoo?🤡🤡🤡
Kwa maoni yangu PM ameanza kupoteza touch na wananchiJana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia...
Zingatia neno dalili
That guy is a clownLongo long at his best, chanya ya wapi wakati watu kila siku wanaliav tu hata miamala ukiwatumia unaambiwa nityumie na za kutolea....
Ukimtoa Nyerere hakuna waziri mkuu alikuwa/atakuwa RaisAmeanza Kampeni za Uraisi mapema sana,au kwasababu ni zamu ya muisilamu?
Ccm mpo?
Inatisha kwa kweli...binafsi nilikuwa namuamini Sana, lakini aaaah..Ana siasa za kishamba na kilaghai. Kaulizs kwanini taa hamna, Injinia kachukua maiki ile kaongea maneno mawili tu kamkatiza. Kwanini asimuache aongee ili tujue ukweli?
Pengine walimislead info wale jamaa waliopanga ziara za ghaflaTangu alipotupiga kamba kuwa Magufuli yuko vyema na anaendelea na majukumu yake ya kiofisi (ikulu) kumbe mzee wetu anapigania maisha yake ..kwanzia hapo huyu Ca-phone sijawa
Tangu alipotupiga kamba kuwa Magufuli yuko vyema na anaendelea na majukumu yake ya kiofisi (ikulu) kumbe mzee wetu anapigania maisha yake ..kwanzia hapo huyu Ca-phone sijawahi mkubali.
Kiukweli Hayo (dart) mabus yalikuwa pale ubungo inland terminal (dry port) tangia 2018Jana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia...
Wanasiasa ndivyo walivyo wanaboa sanaJana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia...
Dini na maslahi makubwa ya taifa wapi na wapi?!!!Ameanza Kampeni za Uraisi mapema sana,au kwasababu ni zamu ya muisilamu?
Ccm mpo?🤨
Inasikitisha ila ndio ukweli ulivyokuwaWatu wa Kimara wameteseka sana wakati mabasi 70 wameyazuia Bandarini.
umemuona enhee huyu na mkuu wa mkoa wa Dar wanani-bore sana yaani utendaji zero! Dar uchafu kila kona ila kila siku mkuu wa mkoa wa dar ni mwendo wa mabambio tu na kutoa kauli ila kuunda taskforce ya kushughulikia swala la usafi yaani watu wa Jiji na manispaa mpaka kata na kugawana majukumu hakuna!Jana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia.
Pia kipindi kile unakagua mradi wa DART ulimuuliza swali Mkurugenzi akaanza kufunguka ukamkatiza ukaongea wewe tu na mwisho akatumbuliwa wakati mlikuwa mmezuia mabasi 70 bandarini kisa kodi.
Ndugu yangu Majaliwa siasa za kimagufuli hazitakusaidia, watanzania sio wajinga.