You must be a successful manMwenyewe niliajiriwa baada ya miezi 8 nikaacha maana niliona ni ujinga mtupu hakuna mwelekeo na utapelitapeli umejaa
Lengo ni kuzima mvumo wa mikutano ya Chadema unaondelea. MaCCM yanawaza UBAYA tu.Hii...ni taarifa mbichi kwa wafanyakazi,taarfa ambayo imekaa kisiasa.
Taarfa iliyoiva haiwezi kuwa ya namna hii.hii taarfa haina Tofauti na ile ya utatuzi wa ongezeko la bei ya mafuta.
Hapa ni Siasa, siasa! siasa!!
AmenYou must be a successful man
Unadhani kila mtu anawaza chadema Kama unavyowaza weweLengo ni kuzima mvumo wa mikutano ya Chadema unaondelea. MaCCM yanawaza UBAYA tu.
Mbona enzi ya JK hizi drama hazikuwepo?Taarifa ya ongezeko la mishahara ,Rais anatakiwa kupokea kutoka kwa Karibu Mkuu Kiongozi na sio vinginevyo.
Mwinyi huyu huku kwetu anamiliki mahekari na viwanja vingiMwinyi amevuruga utaratibu baada ya kutangaza,nadhani SAMIA hakumshirikisha Mwinyi kuwa wote wadiongeze.
Mwana wanatuonyesha Pasi za Kiman U utafikili kuna kombe tunagombania kumbe mshahara ni haki yetu na madaraja ni haki yetu, na Elimu ilikua gharama ya wazazi wetu..hawa jamaa pasua kichwaa sana.!!yaani tunazungushanaaaaa mara jambo lenu lipo, ooh hesabu zinaendelea, oooh kikao kinafanyika, mara oooh waziri mkuu kapokea hesabu, tena ooh katelefoni atamkabidhi Sam mapendekezo, ooh Sam atawatangazia yaani kama pasi za NETBALL....... wasi wasi tu mwanzo mwisho
Leo tu nimeshapigwa tozo Elfu 11000, kwa dk. 1 nikiwa Hapa hapa Busunzu kibondo kigoma Tanzania, kibunda ipo ya kutosha,Tatizo lipo kwenye kibubu. Je kina pesa za kutosha?
wananchi wenzangu tulieni mbona siku zitafika tuu kama ukweli utajulikana acheni kupiga ramliTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
WAZIRI MKUU APOKEA TAARIFA YA NYONGEZA YA MISHAHARA
*Aahidi kuikabidhi kwa Mheshimiwa Rais Samia wakati wowote
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea taarifa ya mapendekezo ya ongezeko la mishahara ya watumishi kutoka kwa timu ya wataalamu iliyokuwa ikiyaandaa kwa ajili ya kuiwasilisha kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Amepokea taarifa hiyo leo usiku (Jumanne, Mei 10, 2022) katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma. Kikao hicho kiliwahusisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako, Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba.
Viongozi wengine waliohudhuria kikao hicho ni Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Hamad Hassan Chande, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Deogratius Ndejembi pamoja na Makatibu Wakuu wa wizara hizo.
Mheshimiwa Majaliwa amesema taarifa hiyo imeonesha kwamba maandalizi ya mapendekezo ya ongezeko la mishahara yameshakamilika na kwamba wakati wowote atayawasilisha kwa Mheshimiwa Rais Samia ambaye atautangazia umma mabadiliko hayo yanayotarajiwa Julai mwaka huu.
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan wakati akihutubia wananchi katika sherehe za maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani Jumapili Mei Mosi 2022 aliwahikikishia wafanyakazi nchini kuwa Serikali katika mwaka wa fedha 2022/2023 itaongeza mishahara kwa watumishi wake.
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
S. L. P. 980,
41193 – DODOMA
JUMANNE, MEI 10, 2022.
ngoja mama arudi toka Uganda aje kututangaziaNajiuliza shida iko wapi mpaka nyongeza za wafanyakazi zikokotolewe as its kitu very special and confidential.
Samahani naomba kuuliza,. Waziri Mkuu anatakiwa kisheria kukabidhi hiyo ripoti kwa rais au mpaka waziri mkuu apendeWAZIRI MKUU APOKEA TAARIFA YA NYONGEZA YA MISHAHARA
*Aahidi kuikabidhi kwa Mheshimiwa Rais Samia wakati wowote
Wewe ndiye mwenye akili . Naomba pia unipe maana ya akili in nn?Wafanyakazi wenyewe hawana akili acha wachezewe
Ni SirikaliNajiuliza shida iko wapi mpaka nyongeza za wafanyakazi zikokotolewe as its kitu very special and confidential.
Tangu awamu ya tano ya utawala sheria kuhusu mishahara/maslahi ya mtumishi zilipigwa teke. We elewa kwamba waziri ameahidi kuikabidhiSamahani naomba kuuliza,. Waziri Mkuu anatakiwa kisheria kukabidhi hiyo ripoti kwa rais au mpaka waziri mkuu apende
Wabongo kwa kupenda kujifanya mnajua.sasa bajeti ya 22/23 si inaanza Julai 1 sasa mpaka hapa serikali ilichochelewesha ni nini?Kazi kweli kweli!
Kumbe hakuna kilichokuwa kimefanyika? Tulitegemea kuwa tayari iko kwenye bajeti ya 2022/2023 kumbe ndiyo kwanza mapendekezo yanapelekwa kwa Rais?