Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,612
Sawa dada anguMtoto wa mama kila siku unadekezwa huwezi kutuelewa wanaume.
Sawa dada anguMtoto wa mama kila siku unadekezwa huwezi kutuelewa wanaume.
Ulifanya sensa ukajua wafanyakazi wote wanawaza ongezeko la mshahara!?Aongeze chochote kitu angalau kutuliza nafsi za watu, akili za wafanyakazi hazifanyi kazi tena miaka yote wanawaza ongezeko la mshahara.
TeteteteLile jambo letu lileeee,
Mahesabu yamekamilika,😋
Mungu awajaalie watumishi wameumia kwa muda mrefu.
Hakuna ambaye hawazi ndiyo maana wanaitwa wafanyakazi, kuna aliyepandishiwa mshahara akakataa?Ulifanya sensa ukajua wafanyakazi wote wanawaza ongezeko la mshahara!?
Kwanza watakaofaidi ni wale wa mishahara kuanzia 2M na kuendelea hawa wengine sana sn 50KUtashangaa mbwembwe zote hizi halafu wanaongeza asilimia moja tu.
Kukataa na kuwaza ni vitu viwili tofauti,jifunze kufikiri kwa kinaHakuna ambaye hawazi ndiyo maana wanaitwa wafanyakazi, kuna aliyepandishiwa mshahara akakataa?
Acha kujisheuaKukataa na kuwaza ni vitu viwili tofauti,jifunze kufikiri kwa kina
Sahihi ni 'kujishaua' na si kujisheuaAcha kujisheua
Hivi akiongeza mshahara na sisi ambao tunatarajia kuingia kwenye ajira tunakutana na hilo ongezeko ?Utashangaa mbwembwe zote hizi halafu wanaongeza asilimia moja tu.
Sasa Mimi nakula basic 4,135,000 basi ngoja nisubiri , japo wangu mkubwa sana sihitaji sana nyongeza.Kwanza watakaofaidi ni wale wa mishahara kuanzia 2M na kuendelea hawa wengine sana sn 50K
OkSahihi ni 'kujishaua' na si kujisheua
Weka salary slip hapaSasa Mimi nakula basic 4,135,000 basi ngoja nisubiri , japo wangu mkubwa sana sihitaji sana nyongeza.
Mkuu kweli hauna masikharaNiko hapa benki nasubiri hilo ongezeko nivute mkopo nipanue mradi wangu
Usifanye masihara na maisha ndugu.Mkuu kweli hauna masikhara