Mnyampaa msingida
Senior Member
- Aug 5, 2013
- 180
- 54
Huo ni ushirikina wa hali ya juu. Huyo babu wa samunge ni mshirikina.
Further proof that our leaders are morally, mentally and physically ill.Babu wa Loliondo almaarufu babu wa kikombe.. ameitaka serikali kuboresha njia na mazingira ya Samunge kujiandaa kwa mafuriko ya watu kutokana na miujiza iyakayoanza tena karibuni.
Babu aliyasema hayo mbele ya waziri mkuu alipomtembelea huko Samunge. Kabla ya waziri mkuu kuondoka walipata kikombe na mkewe na umati wa watu waliofika na msafara wa waziri mkuu.
Hoja Kikombe serikali ilipinga uponyaji wake....
je! Kulikoni???
Maendeleo ya loliondo hayawezi kuletwa na kikombe cha babu ila kwa kujenga barabara. Kikombe cha babu sasa ni ishara ya matumaini mema kwa loliondoBabu wa Loliondo almaarufu babu wa kikombe.. ameitaka serikali kuboresha njia na mazingira ya Samunge kujiandaa kwa mafuriko ya watu kutokana na miujiza iyakayoanza tena karibuni.
Babu aliyasema hayo mbele ya waziri mkuu alipomtembelea huko Samunge. Kabla ya waziri mkuu kuondoka walipata kikombe na mkewe na umati wa watu waliofika na msafara wa waziri mkuu.
Hoja Kikombe serikali ilipinga uponyaji wake....
je! Kulikoni???
Kikombe ni upuuzi mtupu
Na anayekunywa kikombe cha Babu ni mpuuzi tu haijalishi yeye ni nani na anamadaraka gani...mtanisamehe mliowahi kunywa!
viongozi wote wa nchi hii ni wagonjwa