Waziri Mkuu apiga kikombe Samunge

Waziri Mkuu apiga kikombe Samunge

mkisikia babu anauza hisa mnipm sababu kuna ka harusu ka kikombe sehemu ya 2
 
hii serikali ya ccm bado tu haijapata fundisho kwa hawa waganga wa kienyeji ?
 
Kwahiyo akili za Viongozi wetu za utatuzi wa matatizo ya Watanzania ndio kusema kwamba zimeishia kwa babu wa Samunge na Wapiga ramli wa Nchi hii,Hawawezi kufikiri zaidi ya hapo tena!!!??Si ajabu majanga Tanzania hayaishi kwasababu watu wamemuasi Mungu na wamezisaliti akili zao.
 
Kwa hiyo CCM mmeona suala la katiba gumu sasa mnataka kuturudisha kwenye sinema ya KIKOMBE part 2!?
Kuweni wazalendo jamani katiba ni yetu sote!
ACHENI UBINAFSI!
 
asiramkono.jpg
balelekandoro.jpg
lukuvi.jpg
Maige.JPG
194447_150870264972593_100001488627418_287072_7695442_o.jpg
magufuli.jpg

Dah..! no wonder maamuzi yanakuwa ya hovyohovyo kumbe wanaofanya maamuzi wote ni wagonjwa na wameoza.. cheki huyo dingi kulia kwa Kandoro..
 
Hivi kweli pamoja na udhaifu katika uongozi walionao wakuu wetu bado wanaweza kurudia kosa hili! Tunahitaji kutazama kwa makini inawezekana Babu ni psychiatric case na viongozi wetu wanajikuta wametumbukia kwenye mtego wake bila kujua hasa pale anapo-attach mambo yake na imani ya dini.
 
Babu wa Loliondo almaarufu babu wa kikombe.. ameitaka serikali kuboresha njia na mazingira ya Samunge kujiandaa kwa mafuriko ya watu kutokana na miujiza iyakayoanza tena karibuni.

Babu aliyasema hayo mbele ya waziri mkuu alipomtembelea huko Samunge. Kabla ya waziri mkuu kuondoka walipata kikombe na mkewe na umati wa watu waliofika na msafara wa waziri mkuu.

Hoja Kikombe serikali ilipinga uponyaji wake....
je! Kulikoni???
Further proof that our leaders are morally, mentally and physically ill.
 
Nimeishia kushangaa tu!!!! Hawa sio viongozi..Kweli serikali yetu unaweza kuiangamiza kwa cku moja
Tuchukulie mfano babu katumiwa na magaidi atege sumu..Inakuwaje hapo?
 
acha wanywe wagonjwa hao,inaweza saidia akafuta ile kauli wapigwe tu
 
Babu wa Loliondo almaarufu babu wa kikombe.. ameitaka serikali kuboresha njia na mazingira ya Samunge kujiandaa kwa mafuriko ya watu kutokana na miujiza iyakayoanza tena karibuni.

Babu aliyasema hayo mbele ya waziri mkuu alipomtembelea huko Samunge. Kabla ya waziri mkuu kuondoka walipata kikombe na mkewe na umati wa watu waliofika na msafara wa waziri mkuu.

Hoja Kikombe serikali ilipinga uponyaji wake....
je! Kulikoni???
Maendeleo ya loliondo hayawezi kuletwa na kikombe cha babu ila kwa kujenga barabara. Kikombe cha babu sasa ni ishara ya matumaini mema kwa loliondo
 
Na anayekunywa kikombe cha Babu ni mpuuzi tu haijalishi yeye ni nani na anamadaraka gani...mtanisamehe mliowahi kunywa!

Lakini cha ajabu Kikombe cha babu kilipata support kubwa ya kanisa na serikali!!!
 
babu noma aisee, walitangaza akitibu mbona wanakunywa jamani kweli viongozi wetu akili amuna,
 
CCM wakizidiwa na kubanwa kila kona wanaanzisha dili na ishu za kichawi na ulozi ili sote tufate mkumbo tusijadili tena katiba na zanzibar wakose sapoti ya bara katika katiba ..mwisho wa yote tunasema hatudanganyiki hata kwa pipi,nendeni mkirudi mtaikuta katiba iko palepale
 
Back
Top Bottom