Wile GAMBA
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 1,809
- 595
unajuaje? kama inaozesha mafigo taratibu...baada ya miaka miwili viongozi wote hoi vitandani, hii nchi imechanganyikiwa...Nimeishia kushangaa tu!!!! Hawa sio viongozi..Kweli serikali yetu unaweza kuiangamiza kwa cku moja
Tuchukulie mfano babu katumiwa na magaidi atege sumu..Inakuwaje hapo?