MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 254
Babu wa Loliondo almaarufu babu wa kikombe.. ameitaka serikali kuboresha njia na mazingira ya Samunge kujiandaa kwa mafuriko ya watu kutokana na miujiza iyakayoanza tena karibuni.
Babu aliyasema hayo mbele ya waziri mkuu alipomtembelea huko Samunge. Kabla ya waziri mkuu kuondoka walipata kikombe na mkewe na umati wa watu waliofika na msafara wa waziri mkuu.
Hoja Kikombe serikali ilipinga uponyaji wake....
je! Kulikoni???
Babu aliyasema hayo mbele ya waziri mkuu alipomtembelea huko Samunge. Kabla ya waziri mkuu kuondoka walipata kikombe na mkewe na umati wa watu waliofika na msafara wa waziri mkuu.
Hoja Kikombe serikali ilipinga uponyaji wake....
je! Kulikoni???