johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Tunakumbushana tu kwa wale mlio Wasahaulifu.
Waziri mkuu huteuliwa na Rais na kuthibitishwa na Bunge.
Waziri mkuu ni lazima awe Mbunge wa kuchaguliwa.
Hivyo wenye haki ya kumtoa Waziri mkuu ni Rais wa JMT, Bunge na chama chake CCM.
CHADEMA pambaneni na akina Halima Mdee ndio level yenu kikatiba kwa sasa.
Waziri mkuu huteuliwa na Rais na kuthibitishwa na Bunge.
Waziri mkuu ni lazima awe Mbunge wa kuchaguliwa.
Hivyo wenye haki ya kumtoa Waziri mkuu ni Rais wa JMT, Bunge na chama chake CCM.
CHADEMA pambaneni na akina Halima Mdee ndio level yenu kikatiba kwa sasa.