salisalum
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 418
- 136
Waziri wa Ujenzi Dr. Magufuli katia X nyumba zote zilizoko kwenye hifadhi ya barabara na kaagiza Tanroads wavunje bila kuangalia makunyanzi kupisha ujenzi wa barabara.
Waziri mkuu akiwa kwenye jimbo la Magufuli tena baadaye akamtembelea mama yake, alimwagiza asitishe bomoa bomoa mpaka bunge lijadili. Sielewi maana yake nini. Je, bunge litabadili hiyo sheria ya barabara? Magufuli ndiye aliyemwomba Pinda apindue maamuzi yake? Hii ni dharau au waliteta kwanza wakakubaliana atangue tena kwenye hadhara? Kama Magufuli hata react tumweleweje? Asiporeact haitaonyesha kwamba ni kiongozi dhaifu ambaye hutafuta kila nafasi kutafuta umaarufu uchwara? Hii maana yake nini?
Serikali ambayo kila waziri ana lake. Hakuna harmony hata kidogo.
Waziri mkuu akiwa kwenye jimbo la Magufuli tena baadaye akamtembelea mama yake, alimwagiza asitishe bomoa bomoa mpaka bunge lijadili. Sielewi maana yake nini. Je, bunge litabadili hiyo sheria ya barabara? Magufuli ndiye aliyemwomba Pinda apindue maamuzi yake? Hii ni dharau au waliteta kwanza wakakubaliana atangue tena kwenye hadhara? Kama Magufuli hata react tumweleweje? Asiporeact haitaonyesha kwamba ni kiongozi dhaifu ambaye hutafuta kila nafasi kutafuta umaarufu uchwara? Hii maana yake nini?
Serikali ambayo kila waziri ana lake. Hakuna harmony hata kidogo.