Tatizo si Lema kuleta ushahidi, tatizo ni je haki itatendeka? Inavyoonekana mpaka sasa ni kwamba Lema hana adabu, hata huo ushahidi wake hauwezi kukubalika maana kumuumbua PM si rahisi na jambo ambalo silitegemei kutoka katika Bunge hili. Ajiandae tu kwa adhabu atakayopewa huo ndo ukweli wenyewe
Msisahau Pinda ni miongoni mwa wabunge wa sisiemi 19 ambao ni wabunge batili!!!!!!!!!! Si jambo la kushangaza kusikia maneno ya namna hiyo kutoka kwa Pinda! Wameamua na wamedhamiria kweli kweli kuendesha nchi hii kwa uwongo mkubwa wa madai ya "UTAWALA WA SHERIA" kwenye mgongo wa utawala wa "UGAIDI" tangu mbinu zilizotumika wakati wa uchaguzi mkuu, tukio la Arusha, na sasa haya matukio ya uporaji hadharani kwa nguvu wa haki za kikatiba za CDM kuchanganya na madai ya uongo wa mchana kweupe!!!!!!!! Mbona hakutaja yule mbunge wa sisiemu Arusha kwamba si mbunge wa jimbo mojawapo au kiti kwa ajili ya mkoa wa Arusha????? -mbunge halali wa CDM akawekwa pembeni na mbunge batili wa sisiemu akahesabiwa haki katika baraza la madiwani Arusha; Hii ni sawa sawa na mbinu walizotumia katika uchaguzi wa rais-Kikwete 27% ndiye rais, na Slaa 64% ni wa pili!!!!!!!!!; Hata katiba mpya nayo itakuwa hivyo hivyo!!!!!!!!; yaani matakwa ya mafisadi ndiyo yatakuwa dira ya katiba hiyo!!!!!!; It is very big shame maana kwenye vyombo vya kimataifa wanajitangaza kwamba ni watawala bora na safi wa kuigwa na nchi zingine za Afrika!!!!!!!!!! VERY BIG SHAME!!!!!!!!!!!!!!!!Time will always determine,pinda umepoteza uhalali wa kuwa pm,na hakika hutaepuka kikombe hiki
Tatizo si Lema kuleta ushahidi, tatizo ni je haki itatendeka? Inavyoonekana mpaka sasa ni kwamba Lema hana adabu, hata huo ushahidi wake hauwezi kukubalika maana kumuumbua PM si rahisi na jambo ambalo silitegemei kutoka katika Bunge hili. Ajiandae tu kwa adhabu atakayopewa huo ndo ukweli wenyewe
Waambieni CDM watambue wanadeal na majambazi na mafisadi wa kimataifa-njia za kidiplomasia na kijetumen hapa itazidi tu kutuletea uchungu!!!!!!!!!!!!!! Wajenge hoja za kuamsha hisia za wananchi wanaoumia kama vile wanavyuo, machinga, wale asilimia 88% walimaliza form four ambao wasitarajie mema yo yote katika maisha yao chini ya utawala wa serikali ya sisiemu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Nakubaliana na wewe na hasa kwa wito wa kumwomba Lema ajiandae na Adhabu. Mimi nyongeza yangu napenda kumfariji Lema atayarishe ushahidi wake kama ukweli ulivyo ATAKUWA AMEFIKISHA UJUMBE hata akiadhibiwa.
Pili wabunge wote wa CDM wampige taf hata kulikomalia bunge ikibidi basi waadhibiwe wote.
kuna mtu aliwahi kuuliza kwamba, Mbona wakati Chadema wanaandamana kwenda kuzika hayakutokea maafa yoyote???? nami pia narudia kukuuliza swali hilo hilo mkuu??:twitch:
Naweza kuongea hili kwa ujasiri wote kwasababu siku matukio yanatokea nilikuwa nafuatilia kwa kwa ukaribu sana.
Watanzania imefika wakati tuondoe uwoga na kutetea masilahi ya watu na si vinginevyo,Hali hii inauma sana na inasikitisha .
- Jambo la kwanza waziri amedanganya ama kwa kupokea taarifa za uwongo ni juu ya ratiba iliyokuwapo na taarifa zilizotolewa.
- Pili juu ya wabunge wa chadema kuingia na kutoka,Huu ni uwongo uliopitiliza.
View attachment 22569
- Taarifa ya kwanza Kikao kilihairishwa bila kujulikana nini kitafuatwa kesho yake,kwani kulingana na ratiba the day next ilikuwa ya semina kwa wabunge wote.Copy attached.
- wabunge waliachana bila kupeana taratibu sababu kikao kilivunjwa gafla.Lakini kilichofuata ni muendelezo wa ratiba ya what follows the next day.
- Barua ya kuwarudisha kwenye mkutano barua ziligawiwa kwa wabunge wa CCM na TLP tu.Copy attached above.
Naongea haya kwa ujasili kwasababu nililifatilia na kuongea na RPC kwa kinywa changu mwenyewe.
watanzania na wanaJF ambao mnaendeleza kufanya ushabiki wakati Viongozi wakubwa wa nchi wanapotosha ukweli nijambo la kusikitisha.Najua wengine mmetumwa/ama ni wahusika naomba niseme tu the day is coming ukweli utabaki kuwa ukweli kwa Mungu anasikia,anaona na mwisho atatenda.
Jamani Waziri anapotosha hata ukweli wa vifo vya wahanga? Nooooooooooooooooo Pinda you have gone beyond,i was among the VICTIM,sikuhadithiwa na mtu.Maneno ya kinywa chako yatakuhukumu.
Marehemu wote waliokufa hawakuwa sehemu ya maandamano yetu.
Waziri mkuu nilitegemea angeomba msamaha ninaushahidi wa watu waliokufa mbele ya macho yangu na taarifa zao sijui ziko wapi.
kwanini nimeguswa na kulileta hapa,ni kwa sababu ya watu walioamua kuleta Tred ambazo zinapotosha umma nakufanya CHADEMA kuonekana ni watu wa haina flani,Lakini ukweli utabaki palepale na mwisho wa siku dhamira zetu zote zitakuwa wazi na Mungu ndipo atakapotoa hukumu yake.Kumbukeni hata wahathirika wanasoma maoni yenu.
Nawapongeza Viongozi wangu wa Chadema wametumia Hekima kubwa kuepusha shari kwa ukimya wao.
MALIPO NA HUKUMU ZA MUNGU HUWA NI HAPAHAPA DUNIANI.
View attachment 22572