Waziri mkuu akimpeleka binti yake shule

Waziri mkuu akimpeleka binti yake shule

slaa hata hajui watoto wake kama wamekwenda shule,wanaumwa,wamekula.amemwachia rozi huku anaponda raha na jose then anataka kulea taifa huku familia imemshinda!

watoto waliopatikana kwenye mbio za mwenge.kazi kweli bora mwenge ufutwe una madhara sana
 
Back
Top Bottom