Waziri mkuu akimpeleka binti yake shule

Waziri mkuu akimpeleka binti yake shule

Obama wa Bongo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
5,448
Reaction score
4,985
Picha ikimuonyesha waziri mkuu wa uingereza bwn cammeron akimsindikiza mwanae mdogo shule chekechea kabla ya kwenda kazini.
tofauti na hiku kwetu ukiwa diwani tu,unaajiri dereva wa kuwapeleka watoto shule
1505665_david_cameron_jpg05bfd22f95dc1214886b088365c79d75
 
huoni ndiyo maana imekua picha ya dunia?
 
hiyo nayo ni mgawanyo wa majukumu kijinsia
 
Hawa pia ndiyo wanaruhusu ndoa ya jinsia moja.
 
slaa hata hajui watoto wake kama wamekwenda shule,wanaumwa,wamekula.amemwachia rozi huku anaponda raha na jose then anataka kulea taifa huku familia imemshinda!
 
Huku waziri mkuu ni babu! Misafara ndio mpango mzima
 
Picha ikimuonyesha waziri mkuu wa uingereza bwn cammeron akimsindikiza mwanae mdogo shule chekechea kabla ya kwenda kazini.
tofauti na hiku kwetu ukiwa diwani tu,unaajiri dereva wa kuwapeleka watoto shule

Waingereza mabahili wa kutupwa.

Huku kwetu riziki majala! Tanzania kidogo diwani unachopata unagawana na dereva ili na mtoto wa dereva naye mwanae aende chekechea pia!
 
slaa hata hajui watoto wake kama wamekwenda shule,wanaumwa,wamekula.amemwachia rozi huku anaponda raha na jose then anataka kulea taifa huku familia imemshinda!
well said mkuu! naskia ata mwenyekiti amatelekeza familia pia
 
Waingereza mabahili wa kutupwa.

Huku kwetu riziki majala! Tanzania kidogo diwani unachopata unagawana na dereva ili na mtoto wa dereva naye mwanae aende chekechea pia!

sio hivyo Tatizo la waafrika wengi ni ulimbukeni,wakipata makalio ulia mbwata
 
nadhani miundo mbinu inachangia wakuu bongo si masaa alafu watu wakikuona full kuomba
 
Safi sana sio viongozi tu hata sisi ambao sio viongozi wa serikali lakini ni wazazi inatupasa kama mda upo tuwapeleke watoto wetu shuleni na hata wake zetu pia kuwapeleka kliniki.
 
slaa hata hajui watoto wake kama wamekwenda shule,wanaumwa,wamekula.amemwachia rozi huku anaponda raha na jose then anataka kulea taifa huku familia imemshinda!
Hata mwenyekiti wenu ametelekeza watoto, toeni boriti kwenye jicho lenu kwanza kabla ya kuondoa kibanzi kwenye jicho la mwenzio. Hata Nape kama hakutelekezwa ungekuta amesoma shule nzuri tu na kuacha kubwabwaja hovyo
 
Picha ikimuonyesha waziri mkuu wa uingereza bwn cammeron akimsindikiza mwanae mdogo shule chekechea kabla ya kwenda kazini.
tofauti na hiku kwetu ukiwa diwani tu,unaajiri dereva wa kuwapeleka watoto shule
1505665_david_cameron_jpg05bfd22f95dc1214886b088365c79d75

diwani ama mtunza kumbukumbu wa halmashauri /taasisi ya uma / wizara
 
slaa hata hajui watoto wake kama wamekwenda shule,wanaumwa,wamekula.amemwachia rozi huku anaponda raha na jose then anataka kulea taifa huku familia imemshinda!

Mkuu Tony Gwanco taratibu! usije ukasababisha mzee wa watu akafa kwa presha wakakwambia Zitto Kakutuma.
 
slaa hata hajui watoto wake kama wamekwenda shule,wanaumwa,wamekula.amemwachia rozi huku anaponda raha na jose then anataka kulea taifa huku familia imemshinda!

Ulivyo mbea mbea unafaa kuishi na David Cameroon wewe....
 
slaa hata hajui watoto wake kama wamekwenda shule,wanaumwa,wamekula.amemwachia rozi huku anaponda raha na jose then anataka kulea taifa huku familia imemshinda!

Acha umadenge wewe basi anakuachia wewe nyambafu alishakuja kukuomba ada ya shule au viatu hivi kwa nini hampendi kusimamia haki mmekaa kimajungu majungu na umbea tu wewe unavyoonekana hata mkweo ukimkuta kaka vibaya unampiga picha hovyo kabisa.
 
Hata mwenyekiti wenu ametelekeza watoto, toeni boriti kwenye jicho lenu kwanza kabla ya kuondoa kibanzi kwenye jicho la mwenzio. Hata Nape kama hakutelekezwa ungekuta amesoma shule nzuri tu na kuacha kubwabwaja hovyo

We waache hawajui kuna viongozi wao wengine huwa wanarukaruka usiku huku uswazi tunapishana nao hawana maana hawa mchana akisimama wa heshima usiku majanga zishukuriwe tinted za magari.
 
slaa hata hajui watoto wake kama wamekwenda shule,wanaumwa,wamekula.amemwachia rozi huku anaponda raha na jose then anataka kulea taifa huku familia imemshinda!

"@%?!*&"! Slaa anahusikaje na picha hii, kwani yeye ni Waziri Mkuu? Picha hii ungeifananisha na Mtoto wa mkulima au Fastjet, ningekuelewa!

Picha hiyo inaonyesha ni jinsi gani viongozi wa majuu walivyo huru! Sioni kama nyuma yake kuna mjeda kavalia kijeshi anamfuata kwa nyuma. Wala sioni kama ana wasiwasi na wapita njia. Sisi wa kwetu huku anajiwekea ulinzi hadi kero. Hii yote ni kuogopa "kupigwa tu" kwa sababu ya kuingia madarakani kwa mlango wa nyuma na kufuja pesa za kodi huku wananchi wakisota vya kutosha.
 
Back
Top Bottom