Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 5,973
- 6,606
Waziri mpya Wizara ya Utumishi Mh.Huruma Mkuchika amenena kuwa kwa sasa hawatapandisha mishahara ya watumishi wa umma mpaka uhakiki ukamilike.
Mkuchika amedai kwamba kuna watumishi 40, 000 wamefoji umri kwa hiyo watafanya uhakiki kwanza na kuchukua hatua kabla ya kupandisha mishahara