Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,211
- 42,073
Hii hali ndio inafanya watu wachukie kazi ya ualimu na wengine waione ni kazi ya utumwa na inayo dharauliwa kabisa!
Hivi inakuwaje Mwalimu anaporwa kiti au dawati la kukali kisha anakwenda kupewa mwanafunzi?
Haki za walimu ziko wapi kwanini mnawadhalilisha na kutweza utu wao namna hii?
Kwanini hiyo Kamati na watendaji walishindwa kutafita meza au madawati halafu walimu wana adhibiwa kwa kukosa pa kukaa?
Hivi hawa walimu ilikuwa jukumu lao kutafuta madawati? Kwanini hawa walimu wasichukie hii kazi? Wamekosa nini hadi wapewe hii adhamu?
Hivi inakuwaje Mwalimu anaporwa kiti au dawati la kukali kisha anakwenda kupewa mwanafunzi?
Haki za walimu ziko wapi kwanini mnawadhalilisha na kutweza utu wao namna hii?
Kwanini hiyo Kamati na watendaji walishindwa kutafita meza au madawati halafu walimu wana adhibiwa kwa kukosa pa kukaa?
Hivi hawa walimu ilikuwa jukumu lao kutafuta madawati? Kwanini hawa walimu wasichukie hii kazi? Wamekosa nini hadi wapewe hii adhamu?