Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

Bora awe mpole maana asira zitamuangusha kabisa na ndoto zake za urais zitayeyuka
 
Kwanini asimwamshe aliyelala NAPE NNAUYE? aanze kufikiria angalau agombee Ubunge? sababu Ujumbe wa CC hata kuwa na Nguvu ya kuwakemea Chama cha Madereva wa Usafiri wa Mabasi au kukemea kiwanda cha Ngozi kuhamishwa toka Ruvuma kwenda Morogoro.
Ni kweli kamanda.....
 
Afadhali yeye amesoma alama za nyakati,hawa wanaonajisi demokrasia eg. wassira wajiandae kukumbwa na kimbunga cha mabadiliko na magamba mengine yote,hata huyu membe kama ameongea kinafik hatapona.
 
Mh Membe kafunguka kasoma alama za nyakati hata yeye kachoshwa na hali iliyopo wapo lkn hawajui litakalo tokea 2015 bora asiharibu upande wa pili wapate kwa kuendelea na siasa kamsaidia hata nape afunguke mtazamo tu.
 
Membe amesoma mchezo......soon utasikia Kauli ya Nape kuhusu Membe
 
Hata madiwani wengi tu wa ccm wanakiri wazi,CHADEMA ni chama makini,chenye watu wasiokuwa kwenye matabaka.Jambo la msingi ni kuendelea kujenga msingi wa namna ya kuendesha nchi.Wanaopinga mabadiliko,iko siku mabadiliko yatawabadisha wao.
 
Mungu wa mbingu na nchi yaweke muhuri wa moto maneno ya mtu huyu na yawe kama alivyotamka, amen.
Na iwe hivyo Amen
 

Kudos Membe.....Thats what we want to hear.Hawa ndio mawaziri wenye hekima na sio watu kama kina Wasira.
 
Kwani angefanyaje jamani? Kuzuia M4C ni sawa na kukinga maji ya mto Ruaha kwa kuweka udongo kwa kutumia jembe la mkono. Membe ameshaliona hilo na bora aiache tuu asije akajikuta anapunguza siku zake za kuishi kwa presha.
 
anakaribishwa kwa chama kubwa lakini lazima kwanza amwagiwe maji na kubatizwa kwa ubatizo wa moto ili gamba limtoke
 

Membe haishi Kenya anaishi Tanzania na Dar zaidi.Membe ni mtu tena mwana usalama maarufu na yeye anajua namna ya kupata habari .Membe anaujua ukweli na ameamua kuwa katikati maana lolote linaweza kutokea so hawezi kuendeleza u wassiara wa kijinga .Membe kazinduka ndiyo ukweli huu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…