Waziri Mchengerwa ukimsikiliza anaonesha utofauti mkubwa na wengine kimtazamo wa 'kifenotipia' ila hatujui kuhusu 'Jenotipia' yake

Huyu bwana ni very humble ever,

Nadhani ni mfano mzuri sana kwa Watumishi wenzake wa Umma,

Kauli hizi zinamfanya mwanachi ajivunie Viongozi wake wa Serikali inayomuongoza,

Hongera Rais Samia,
Hongera DP DK Mpango,
Hongera PM Majaliwa
Hongera Waziri Mchengelwa
Mchengelwa ni asset kwa Taifa,
 
Mbowe kawa gaidi kabla hata Mchengelwa hajawa waziri,
Msiwape watu ubaya usiowahusu,
Mahakama ni huru sana wacha tuiache ifanye kazi
Mimi sio mfuasi wa Mchengelwa, lakini nakerwa na hawa Pro-chadema kufanya kila kitu sasa nchini ni Mbowe....Mbowe...Mbowe!

Wanakera sana, hawa jamaa Ikitokea wakashika dola, miaka mitano yote wataitumia kulipiza visasi na kukomoa watu.

Wako kama Interahamwe!
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Waziri huyu kwa mara ya kwanza nilimfahamu pale alipoleta hoja Bungeni akitaka kujua kwanini mradi wa Umeme wa Mwl Nyerere Rufiji (JNHPP) utakaotoa ajira ya zaidi 7,000 na serikali kuwekeza zaidi ya TZS 6.55trilioni unafanyika katika Wilaya ambayo haina hata benki ya Serikali au hata benki binafsi,

Hoja ile imepelekea Serikali kupeleka benki ya Maendeleo katika wilaya hiyo Kongwe na hata leo ukipita hapo njiani utaiona banki hiyo,hapa ndio nilianza kuona kitu kilichopo ndani ya Waziri huyu,

Hebu Msikilize hapa anachowaambia watumishi wenzake, Hongera Rais Samia Suluhu Hassan kutuletea viongozi wa aina hii,

Watumishi chapeni kazi kwa bidii na maarifa kama ni mtetezi wa stahiki zenu zote hakika mnae,


Mchengelwa
 
Yule hana lolote, mzuri wa kuongeaongea tu vitendo sifuri.Juzi kasema watumishi wanaodai malimbikizo watalipwa,hakuna aliyelipwa.Kanajua kuongeaongea hako!! Kwa mawaziri waliopo hakuna waziri anayemfikia Lukuvi katika ueledi na utendaji.
 
Huyu mchengerwa anajitahidi kwenye hyo wizara aisee ana stahili pongezi
 
Mimi sio mfuasi wa Mchengelwa, lakini nakerwa na hawa Pro-chadema kufanya kila kitu sasa nchini ni Mbowe....Mbowe...Mbowe!

Wanakera sana, hawa jamaa Ikitokea wakashika dola, miaka mitano yote wataitumia kulipiza visasi na kukomoa watu.

Wako kama Interahamwe!
Unateseka
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Waziri huyu kwa mara ya kwanza nilimfahamu pale alipoleta hoja Bungeni akitaka kujua kwanini mradi wa Umeme wa Mwl Nyerere Rufiji (JNHPP) utakaotoa ajira ya zaidi 7,000 na serikali kuwekeza zaidi ya TZS 6.55trilioni unafanyika katika Wilaya ambayo haina hata benki ya Serikali au hata benki binafsi,

Hoja ile imepelekea Serikali kupeleka benki ya Maendeleo katika wilaya hiyo Kongwe na hata leo ukipita hapo njiani utaiona banki hiyo,hapa ndio nilianza kuona kitu kilichopo ndani ya Waziri huyu,

Hebu Msikilize hapa anachowaambia watumishi wenzake, Hongera Rais Samia Suluhu Hassan kutuletea viongozi wa aina hii,

Watumishi chapeni kazi kwa bidii na maarifa kama ni mtetezi wa stahiki zenu zote hakika mnae,


Tumekosoma Mh. Waziri...lazima ujisifie usingoje kusifiwa hapa duniani...ila wewe ni noma kama Uncle Shamte vile....vya mteremko..washa mtoto wa ....arafu mambo hayooo
 
Back
Top Bottom