Waziri Mbarawa ataja sababu za kubinafsisha bandari zetu kwa wageni

Stuka

JF-Expert Member
Jul 19, 2022
214
686
Ushirikishwaji wa Sekta Binafsi Katika Shughuli za Uendelezaji na Uendeshaji wa Bandari

229. Mheshimiwa Spika, Ushirikishaji wa Sekta Binafsi katika uendeshaji wa shughuli za bandari zilianza kuchukuliwa na Serikali mwishoni mwa miaka ya 1990 kupitia Tume ya Kurekebisha Mashirika yaUmma (Parastatal Sector Reform Commission-PSRC).

Mwaka 2000, Serikali iliamua kuingia Mkataba na Kampuni binafsi ya Tanzania International Container Terminal Services (TICTS) kwa ajili ya uendeshaji waKitengo cha Makontena Gati Na. 8 – 11 katika Bandari ya Dar es Salaam. Katika kipindi chote cha utendaji kazi wa TICTS, Serikali kupitia TPA imepata mafanikio yafuatayo katika kipindi cha mwaka 2001 hadi 2021.

i. Uwekezaji katika manunuzi ya mitambo ya kuhudumia shehena, miundombinu, mifumo ya TEHAMA na kuwajengea uwezo wafanyakazi;

ii. Kuongezeka kwa shehena ya makasha kutoka makasha ya futi ishirini 382,000 mwaka 2012 hadi kufikia makasha 642,000 mwaka 2021 sawana ongezeko la wastani wa asilimia 8.0 kwamwaka; na94

iii. Kampuni hiyo iliweza kulipa kodi na tozo nyinginezo za Bandari kutoka kiasi cha Shilingi bilioni 235 mwaka 2012 hadi kufikia Shilingi bilioni 635 mwaka 2021.230.

Mheshimiwa Spika, Hata hivyo, pamoja na mafanikio hayo kumekuwa na changamoto kadhaa zikiwemo:

i. Kushindwa kuchagiza shughuli za kibandarikatika mnyororo wa usafirishaji;

ii. Uwekezaji mdogo katika mitambo ya kupakia nakupakua mizigo;

ii. Urasimu wa uondoshaji wa mizigo bandarini;kutokuwa na maeneo ya kutosha nje ya bandariili kupunguza msongamano bandarini;

iv. Kutofanya ukarabati wa miuondombinu yabandari, kutofanya ukarabati wa mitambo kwawakati; na

v. Kutokuwa na mikakati ya kuvutia shehena kupitia Bandari ya Dar es Salaam; kutowekeza katika mifumo ya TEHAMA ya kisasa inayosoma na na mifumo iliyopo TPA.

Kwa kutambua kuwa, TPA pekee haitaweza kutatua changamoto za Bandari zilizopo na kuongeza ufanisi wa bandari nchini, Serikali iliamua kuanzisha jitihada zakutafuta wawekezaji ambao watakuwa na uwezo wakutatua changamoto zilizobainishwa hapo juu.

231. Mheshimiwa Spika, hatua hizo zimehusisha kukutana na kufanya majadiliano na wawekezaji mbalimbali. Baadhi ya wawekezaji waliojitokeza wameonesha nia ya kuwekeza katika maeneo mbalimbali ya bandari nchini ikiwemo; Bandari ya Dar es Salaam, Bandari ya Tanga, Bandari ya Mtwara, Maeneo ya Bandari Kavu na Bandari za Maziwa Makuu ili kulenga soko la nchi zinazotuzunguka, ambalo linakua kwa kasi.

Kama ilivyo kawaida, Bunge lako Tukufu litashirikishwa ipasavyo wakati wa kuridhia Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali yaDubai (Inter Governmental Agreement – IGA) kwa ajili ya ushirikiano wa kuboresha, kuendesha na kuendeleza maeneo ya bandari nchini.

Habari zaidi, soma:
  1. Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi
 
Ushirikishwaji wa Sekta Binafsi Katika Shughuli za Uendelezaji na Uendeshaji wa Bandari

229. Mheshimiwa Spika, Ushirikishaji wa Sekta Binafsi katika uendeshaji wa shughuli za bandari zilianza kuchukuliwa na Serikali mwishoni mwa miaka ya 1990 kupitia Tume ya Kurekebisha Mashirika yaUmma (Parastatal Sector Reform Commission-PSRC).

Mwaka 2000, Serikali iliamua kuingia Mkataba na Kampuni binafsi ya Tanzania International Container Terminal Services (TICTS) kwa ajili ya uendeshaji waKitengo cha Makontena Gati Na. 8 – 11 katika Bandari ya Dar es Salaam. Katika kipindi chote cha utendaji kazi wa TICTS, Serikali kupitia TPA imepata mafanikio yafuatayo katika kipindi cha mwaka 2001 hadi 2021.

i. Uwekezaji katika manunuzi ya mitambo ya kuhudumia shehena, miundombinu, mifumo ya TEHAMA na kuwajengea uwezo wafanyakazi;

ii. Kuongezeka kwa shehena ya makasha kutoka makasha ya futi ishirini 382,000 mwaka 2012 hadi kufikia makasha 642,000 mwaka 2021 sawana ongezeko la wastani wa asilimia 8.0 kwamwaka; na94

iii. Kampuni hiyo iliweza kulipa kodi na tozo nyinginezo za Bandari kutoka kiasi cha Shilingi bilioni 235 mwaka 2012 hadi kufikia Shilingi bilioni 635 mwaka 2021.230.

Mheshimiwa Spika, Hata hivyo, pamoja na mafanikio hayo kumekuwa na changamoto kadhaa zikiwemo:

i. Kushindwa kuchagiza shughuli za kibandarikatika mnyororo wa usafirishaji;

ii. Uwekezaji mdogo katika mitambo ya kupakia nakupakua mizigo;

ii. Urasimu wa uondoshaji wa mizigo bandarini;kutokuwa na maeneo ya kutosha nje ya bandariili kupunguza msongamano bandarini;

iv. Kutofanya ukarabati wa miuondombinu yabandari, kutofanya ukarabati wa mitambo kwawakati; na

v. Kutokuwa na mikakati ya kuvutia shehena kupitia Bandari ya Dar es Salaam; kutowekeza katika mifumo ya TEHAMA ya kisasa inayosoma na na mifumo iliyopo TPA.

Kwa kutambua kuwa, TPA pekee haitaweza kutatua changamoto za Bandari zilizopo na kuongeza ufanisi wa bandari nchini, Serikali iliamua kuanzisha jitihada zakutafuta wawekezaji ambao watakuwa na uwezo wakutatua changamoto zilizobainishwa hapo juu.

231. Mheshimiwa Spika, hatua hizo zimehusisha kukutana na kufanya majadiliano na wawekezaji mbalimbali. Baadhi ya wawekezaji waliojitokeza wameonesha nia ya kuwekeza katika maeneo mbalimbali ya bandari nchini ikiwemo; Bandari ya Dar es Salaam, Bandari ya Tanga, Bandari ya Mtwara, Maeneo ya Bandari Kavu na Bandari za Maziwa Makuu ili kulenga soko la nchi zinazotuzunguka, ambalo linakua kwa kasi.

Kama ilivyo kawaida, Bunge lako Tukufu litashirikishwa ipasavyo wakati wa kuridhia Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali yaDubai (Inter Governmental Agreement – IGA) kwa ajili ya ushirikiano wa kuboresha, kuendesha na kuendeleza maeneo ya bandari nchini.
Wadau Shtuka/Shtukeni kumekucha ya awamu ya ubinafsishaji viwanda upo sebuleni,utaenea hata uwani,mwisho tutageuka wagogo,watembea bakuli mabarabarani🤔
 
Ushirikishwaji wa Sekta Binafsi Katika Shughuli za Uendelezaji na Uendeshaji wa Bandari

229. Mheshimiwa Spika, Ushirikishaji wa Sekta Binafsi katika uendeshaji wa shughuli za bandari zilianza kuchukuliwa na Serikali mwishoni mwa miaka ya 1990 kupitia Tume ya Kurekebisha Mashirika yaUmma (Parastatal Sector Reform Commission-PSRC).

Mwaka 2000, Serikali iliamua kuingia Mkataba na Kampuni binafsi ya Tanzania International Container Terminal Services (TICTS) kwa ajili ya uendeshaji waKitengo cha Makontena Gati Na. 8 – 11 katika Bandari ya Dar es Salaam. Katika kipindi chote cha utendaji kazi wa TICTS, Serikali kupitia TPA imepata mafanikio yafuatayo katika kipindi cha mwaka 2001 hadi 2021.

i. Uwekezaji katika manunuzi ya mitambo ya kuhudumia shehena, miundombinu, mifumo ya TEHAMA na kuwajengea uwezo wafanyakazi;

ii. Kuongezeka kwa shehena ya makasha kutoka makasha ya futi ishirini 382,000 mwaka 2012 hadi kufikia makasha 642,000 mwaka 2021 sawana ongezeko la wastani wa asilimia 8.0 kwamwaka; na94

iii. Kampuni hiyo iliweza kulipa kodi na tozo nyinginezo za Bandari kutoka kiasi cha Shilingi bilioni 235 mwaka 2012 hadi kufikia Shilingi bilioni 635 mwaka 2021.230.

Mheshimiwa Spika, Hata hivyo, pamoja na mafanikio hayo kumekuwa na changamoto kadhaa zikiwemo:

i. Kushindwa kuchagiza shughuli za kibandarikatika mnyororo wa usafirishaji;

ii. Uwekezaji mdogo katika mitambo ya kupakia nakupakua mizigo;

ii. Urasimu wa uondoshaji wa mizigo bandarini;kutokuwa na maeneo ya kutosha nje ya bandariili kupunguza msongamano bandarini;

iv. Kutofanya ukarabati wa miuondombinu yabandari, kutofanya ukarabati wa mitambo kwawakati; na

v. Kutokuwa na mikakati ya kuvutia shehena kupitia Bandari ya Dar es Salaam; kutowekeza katika mifumo ya TEHAMA ya kisasa inayosoma na na mifumo iliyopo TPA.

Kwa kutambua kuwa, TPA pekee haitaweza kutatua changamoto za Bandari zilizopo na kuongeza ufanisi wa bandari nchini, Serikali iliamua kuanzisha jitihada zakutafuta wawekezaji ambao watakuwa na uwezo wakutatua changamoto zilizobainishwa hapo juu.

231. Mheshimiwa Spika, hatua hizo zimehusisha kukutana na kufanya majadiliano na wawekezaji mbalimbali. Baadhi ya wawekezaji waliojitokeza wameonesha nia ya kuwekeza katika maeneo mbalimbali ya bandari nchini ikiwemo; Bandari ya Dar es Salaam, Bandari ya Tanga, Bandari ya Mtwara, Maeneo ya Bandari Kavu na Bandari za Maziwa Makuu ili kulenga soko la nchi zinazotuzunguka, ambalo linakua kwa kasi.

Kama ilivyo kawaida, Bunge lako Tukufu litashirikishwa ipasavyo wakati wa kuridhia Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali yaDubai (Inter Governmental Agreement – IGA) kwa ajili ya ushirikiano wa kuboresha, kuendesha na kuendeleza maeneo ya bandari nchini.
Huyu professor naye na Fala kama mafala wengine. Serikali inashindwa kuwasimamia watumishi wake itaweza kwa secta binafis
 
Hivi ya Zanzibar si inafanya kazi vizuri? Wakajifunze kule..kuzaliwa Tanzania ni kazi kwa kweli
 
Leo bandari. Tutashangaa kesho ikiwa viwanja vya ndege? Maana yake mambo huenda hatua kwa hatua. Kila kitu hatuwezi.

Kuna airports, railways, mbuga za wanyama, mabwawa ya kufua umeme vyote hivyo kuna siku tutasikia mapendekezo ya kubinafsisha.

Nini kitabaki, labda bunge tu.
 
Ushirikishwaji wa Sekta Binafsi Katika Shughuli za Uendelezaji na Uendeshaji wa Bandari

229. Mheshimiwa Spika, Ushirikishaji wa Sekta Binafsi katika uendeshaji wa shughuli za bandari zilianza kuchukuliwa na Serikali mwishoni mwa miaka ya 1990 kupitia Tume ya Kurekebisha Mashirika yaUmma (Parastatal Sector Reform Commission-PSRC).

Mwaka 2000, Serikali iliamua kuingia Mkataba na Kampuni binafsi ya Tanzania International Container Terminal Services (TICTS) kwa ajili ya uendeshaji waKitengo cha Makontena Gati Na. 8 – 11 katika Bandari ya Dar es Salaam. Katika kipindi chote cha utendaji kazi wa TICTS, Serikali kupitia TPA imepata mafanikio yafuatayo katika kipindi cha mwaka 2001 hadi 2021.

i. Uwekezaji katika manunuzi ya mitambo ya kuhudumia shehena, miundombinu, mifumo ya TEHAMA na kuwajengea uwezo wafanyakazi;

ii. Kuongezeka kwa shehena ya makasha kutoka makasha ya futi ishirini 382,000 mwaka 2012 hadi kufikia makasha 642,000 mwaka 2021 sawana ongezeko la wastani wa asilimia 8.0 kwamwaka; na94

iii. Kampuni hiyo iliweza kulipa kodi na tozo nyinginezo za Bandari kutoka kiasi cha Shilingi bilioni 235 mwaka 2012 hadi kufikia Shilingi bilioni 635 mwaka 2021.230.

Mheshimiwa Spika, Hata hivyo, pamoja na mafanikio hayo kumekuwa na changamoto kadhaa zikiwemo:

i. Kushindwa kuchagiza shughuli za kibandarikatika mnyororo wa usafirishaji;

ii. Uwekezaji mdogo katika mitambo ya kupakia nakupakua mizigo;

ii. Urasimu wa uondoshaji wa mizigo bandarini;kutokuwa na maeneo ya kutosha nje ya bandariili kupunguza msongamano bandarini;

iv. Kutofanya ukarabati wa miuondombinu yabandari, kutofanya ukarabati wa mitambo kwawakati; na

v. Kutokuwa na mikakati ya kuvutia shehena kupitia Bandari ya Dar es Salaam; kutowekeza katika mifumo ya TEHAMA ya kisasa inayosoma na na mifumo iliyopo TPA.

Kwa kutambua kuwa, TPA pekee haitaweza kutatua changamoto za Bandari zilizopo na kuongeza ufanisi wa bandari nchini, Serikali iliamua kuanzisha jitihada zakutafuta wawekezaji ambao watakuwa na uwezo wakutatua changamoto zilizobainishwa hapo juu.

231. Mheshimiwa Spika, hatua hizo zimehusisha kukutana na kufanya majadiliano na wawekezaji mbalimbali. Baadhi ya wawekezaji waliojitokeza wameonesha nia ya kuwekeza katika maeneo mbalimbali ya bandari nchini ikiwemo; Bandari ya Dar es Salaam, Bandari ya Tanga, Bandari ya Mtwara, Maeneo ya Bandari Kavu na Bandari za Maziwa Makuu ili kulenga soko la nchi zinazotuzunguka, ambalo linakua kwa kasi.

Kama ilivyo kawaida, Bunge lako Tukufu litashirikishwa ipasavyo wakati wa kuridhia Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali yaDubai (Inter Governmental Agreement – IGA) kwa ajili ya ushirikiano wa kuboresha, kuendesha na kuendeleza maeneo ya bandari nchini.
 
Haya yalianza mwaka 1990....

Iweje leo yaonekane mageni na yenye ukakasi?!!!

Tunaiamini serikali yetu kwa nia kuu iliyonayo.....

Bandari ya Dar es salaam inaweza kuchangia nusu ya bajeti ya nchi pale tu uwekezaji bora utakapofanyika....TEHAMA....mifumo kusomana kati ya TPA na TRA....

Kongole kwa serikali yetu ya awamu ya 6
 
Back
Top Bottom