wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Minister for Investment: Mary Nagu
Ukisikia mtu anazungumzia usalama wa Taifa au National security jambo la kwanza utafikiria hawa jamaa:
Lakini ukwlei ni kuwa ninachozungumzia hapa ni hii:
Sababu ni very simple. The availability of and access to food is inextricably linked to prosperity and stability.
Lakini waziri Mary Nagu bila sababu zozote zile za msingi aliamua kuzua wawekezaji binafsi wasijenge kiwanda cha Fertilizer (Mbolea) huko Mtwara na sabab kubwa aliyotoa ni kuwa lazima kufanyike public procurement.
Hivi huyu waziri ana tekeleza ilani ya chama kipi kwa kupinga kiwanda kisijengwe jambo ni private investment?
Binafsi naona huyu mama ni threat to our National Security/ Interests na hafai kuwepo serikalini hata kidogo.