wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
- Thread starter
- #21
mimi nafkiri kuna watu wanapata faida kubwa sana ku import mbolea feki toka nje ndio maana hawataki hiki kiwanda kijengwe
Lakini najaribu kuangalia Mary Nagu anafaidikaje na hiki kiwanda kutojengwa?
Lakini najaribu kuangalia Mary Nagu anafaidikaje na hiki kiwanda kutojengwa?