mkibunga
Senior Member
- Nov 17, 2010
- 196
- 25
maie mwongo wa kupindukia biashara ya magari 2 haiwezi kuzalisha pesa nyingi kiasi hivyo labda maroli yake yalikodisha kubeba meno ya tembo, twiga toka porini kwenda airport hapo angeweza kulipwa us dolla 20,000 kwa mwezi vininevyo kiini macho na haiwezekani alimkopesha dada yake kwa mila na desturi za wasukuma aseme alimwazima pesa sio alipe na liba kidogo anatuzuga tu sisi watanzania mazuzu na ninaona wengi wameanza kumwaminiKiongozi nakwambia hawa mwisho wao umekaribia flu!
Hili hakika halitawaacha!