ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,997
- 50,715
Hongera Waziri Kwa kukuona hili,na Ili kuweza kusimamia vizuri master plan za Miji Serikali Ianzishe Wakala au Mamlaka ya Kusimamia Upangaji Miji na Ardhi yaani Town Planning and Land Administration Authority..
Kiukweli Miji yetu inatia aibu na hasira sana yaani utadhani sisi sio binadamu wenye utashi tunaishi hovyo hovyo kama Wanyama..
Kwa nini mnashindwa kupanga Miji na kupima Ardhi Kwa Ajili ya Matumizi Bora? Tunazidiwa Hadi na Burundi,Somalia,Malawi nk..
Ccm muwe na aibu , hatuwezi kuendelea Kwa utaratibu huu wa Ujenzi wa hivyo hovyo..
Mgombea atayeweka ajenda hii mbele ndio nitampa kura yangu..
Kiukweli Miji yetu inatia aibu na hasira sana yaani utadhani sisi sio binadamu wenye utashi tunaishi hovyo hovyo kama Wanyama..
Kwa nini mnashindwa kupanga Miji na kupima Ardhi Kwa Ajili ya Matumizi Bora? Tunazidiwa Hadi na Burundi,Somalia,Malawi nk..
Ccm muwe na aibu , hatuwezi kuendelea Kwa utaratibu huu wa Ujenzi wa hivyo hovyo..
Mgombea atayeweka ajenda hii mbele ndio nitampa kura yangu..