Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
- Thread starter
- #41
Ndicho nilichouliza - walipokuwa wakigawa viwanja kwa nini hawakutuuliza kipato chetu ili ijulikane ni wanene tu waliotakiwa kugawiwa hivyo viwanja?Basi kachukue viwanja huko mkuranga dar hapakufai