Nonsense.Hapa kazi tu
Nonsense.Hapa kazi tu
Lugola naye kazidi kwa matamko yake sasa. Kila siku anakuja na mpya. Ya awali ameshayatekeleza?
Hana tofauti na Aggrey Mwanri RC wa Tabora ambaye akifika site hufoka mno lakini utekelezaji zero.
Lugola mpaka sasa amerukia rukia mambo mengi lakini sioni anachofanikiwa zaidi ya kutoa masaa kadhaa lakini baada ya hapo hurukia mengine.[/QUOT
Japo nami sizimii matamko, lakini najiuliza kama kila anakopita kuna issues ataacha mpaka tamko la kwanza lipate jibu ndio atoe lingine? Labda style yao ya ufanyaji kazi ndio wangebadilisha kuwa wawashe mioto humo ndani kiutendaji sie huku tuone matokeo...sio lazima kila kitu kitoke kwa matamko na matarumbeta.
Hongera mkuu, itakua uko Dar es Salaam. Huku mkoani ni shida sana mwaka mzima watu wanasubiri hakuna majibu. Leseni za udereva mpya nazo ni tabu hazitoki. Kila ID ambayo ni biometric mkoani utalia sanaMkuu mimi kitambulisho cha uraia mbona nimechukua baada ya miezi 3? Tena nilichelewa mwenyewe tu kwenda ila waliniambia kilikua tayari baada ya wiki 2
Mlokole mtu mbaya sana, Bot pia amepozi sanaKangi lugola ,ataweza huu mfupa ?
Huyu Jack Gotham , mfadhili na mmoja wa wana mikakati wa Bernard membe , aliyepewa tenda hiyo ili wapige pesa za kampeni 2015, huku huyu Dickson Maimu akiwekwa pale kukamilisha dili, bila kujua mlokole wa kitengo alikuwa pale ,akiwasoma na kuwa study vilivyo ,alivyomaliza kazi yake kwa ustadi , akapewa U DG , hakika kikwete na udhaifu wake kuna mambo alistahili pongezi kwa kiasi maana alikuwa na uzalendo nusu ubandidu nusu
Je kangi ataweza huu mfupa wenye chain ndefu ?
Yetu Macho na masikio
Mungu amuweke tuHuyu Lugola huyu.......Basi tu!!!
Tulia weweee,Huyu Lugola huyu.......Basi tu!!!
Tulia weweee,
Kipindi kile watu flani wa upande flani wanapiga kelele kuhusu e pasport mliwaona malofa
Leo hii mnageuka ninyi ndio wakamataji wa ufisadi,
Huu ufisadi ulioibuliwa unaakisi utendaji wa mwigulu nchemba ambaye mlikuwa mkimteteaWe umeshindwa kutulia?