Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Mamaaaa; Mkuu nisamehe bureeee, kumbeeee . . . Jamani mambo mengine hadi tunasahau . . . ..
Mi nilijua tu memory card yako ipo full kwa hiyo ukawa una delete mambo ya zamani na kujaza mambo mapya hili ndilo kosa tunalo lifanya waTZ angalia siku hizi akina Karamagi wanavyo pumua nyimbo zao zote mmesha zifuta kwenye kumbukumbu zenu.