samvande2002
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 413
- 34
ndio hivyo manake hata mkuu wao naye ni hivyo hivyo tu.
watanzania---endeleeni kucheka na nyani ili hali tayari mmeshaanza kuvuna mabua..itafikia staji hata mabua yatakuwa hamna..nayo yataliwa na nyani..
watanzania---endeleeni kucheka na nyani ili hali tayari mmeshaanza kuvuna mabua..itafikia staji hata mabua yatakuwa hamna..nayo yataliwa na nyani..