Waziri Kivuli wa Uchukuzi ni MZIGO

Waziri Kivuli wa Uchukuzi ni MZIGO

MAFILILI

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
2,377
Reaction score
1,200
Kwa mara nyingine CHADEMA imeendelea kuvurunda wakati wa uwasilishwaji wa hotuba ya kambi ya upinzani kuhusu wizara ya uchukuzi; msemaji wa hotuba ameonekana ni kituko ambaye hajafanya maandalizi;-
1. Hajiamini
2. Hotuba hakuipitia mapema
3. Hana kujiamini
4. Anababaika

CHADEMA muwe na maandalizi ya kutosha hili suala ni muhimu kwa ustawi wa taifa letu
 
Acha ufukunyuku

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kwa mara nyingine CHADEMA imeendelea kuvurunda wakati wa uwasilishwaji wa hotuba ya kambi ya upinzani kuhusu wizara ya uchukuzi; msemaji wa hotuba ameonekana ni kituko ambaye hajafanya maandalizi;-
1. Hajiamini
2. Hotuba hakuipitia mapema
3. Hana kujiamini
4. Anababaika

CHADEMA muwe na maandalizi ya kutosha hili suala ni muhimu kwa ustawi wa taifa letu

Huyu ndie angekuwa waziri wetu wa Uchukuzi kama CDM ingepewa nchi 2010.


Kwa kuwa nina maslahi na wizara husika nimefatilia kwa makini hotuba ya Mhe Harrison G Mwakyembe mwanzo mwisho. Katika hotuba yake alizungumzia suala la kandarasi ya CCC kuwa ilisimamishwa na Serikali iliiomba Serikali ya China kuteua mkandarasi mbadala huyu waziri kivuli anauliza maswali ya CCC ambayo majibu yapo kwenye hotuba ya mhe mwakyembe.

Ameuliza ukarabati wa meli mwakyembe ameelezea mikakati ya kuzifanyia repair meli ikiwemo mv ss liemba!

Waziri wetu kivuli amepwaya!

Hivi huyu hakuipata hotuba ya Mwakyembe ambayo yeye angeitumia kuandaa hotuba mbadala?!!! Khaaa

Aibu sana inasikitisha, inahuzunisha na inakatisha tamaa!!!


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Huyu Gekul anaesoma ni kwa niaba ya msemaji wa kambi ya upinzani kwa wizara ya uchukuzi. Umesikia we Pimbi?
 
Acha ufukunyuku

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Ukipenda chongo utaita kengeza, ukweli utabaki palepale cdm mnatuaibisha wanamageuko! Nitaleta hoja hapa jf kuomba cv za huyo so called waziri kivuli!



Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kwa kuwa nina maslahi na wizara husika nimefatilia kwa makini hotuba ya Mhe Harrison G Mwakyembe mwanzo mwisho.Ameuliza ukarabati wa meli mwakyembe ameelezea mikakati ya kuzifanyia repair meli ikiwemo mv ss liemba!

Una msalahi na wizara na hujui tofauti kati ya MV (Motor Vessel) na SS (Steam Ship).....katu "chombo" kimoja hakiwezi kuwa cha aina mbili!
 
Inawezekana kuna mambo ambayo ungependa ayaseme hakuyasema ndiyo maana umemchukia.Nipo ninaangalia bunge hamna hiyo kitu
 
Umakini unahitajika fanya haraka usilale....... Chama kilicho na nia ya kweli na ya dhati kuikomboa nchi hii ni kile chama kilicho makini na mambo yake. Adolph Hitler aliwaua wayahudi kule ujerumani kwa amri yake, hakuwaua wayahudi wote wapo waliobaki ikisemekana kuwa walibaki ili tuone ni kwanini aliwaua hao wayahudi.... Hivyo basi ndivyo ilivyo hapa kwetu tanzania chama cha CCM kilipo kosa ushindi sio kwa maana kimeshindwa bali ni kuwapa hao mayahudi nafasi ili kuona ni kwann hawafai kuipeleka nchi yetu panapostahili....Tumethubutu Tumeweza na Tunasonga Mbele....
 
Una msalahi na wizara na hujui tofauti kati ya MV (Motor Vessel) na SS (Steam Ship).....katu "chombo" kimoja hakiwezi kuwa cha aina mbili!
Even though waziri kivuli amepwaya, mbona Zitto amechangia vizuri sana? Tuwe tunakubali pale mtu anapopwaya na tumpongeze anapoonyesha confidence.


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Wewe Acha mambo yako, majibu yanatolewa mangapi na mawaziri lakini ya uongo..............., hii wizara iliuza reli chini ya enzi za chenge wakatowa majibu kwamba uuzwaji wa reli ungeleta ufanisi lakini waapi?? Alafu piaKazi ya upinzani na wabunge bungeni ni kuihoji serikali na sio kama wabunge wa CCM wanavolaamika kisha mwisho..................makinda.....''wangapi wasemandio..........CCM........ndioooooo!! aibu kubwa: Nakwambia vingewekwa vifaa vya kielektroniki vya kupigia kura kwa siri bungeni..Hata Nchemba,Lukuvi na Pinda wangepinga baadhi ya maamuzi ya serkali kwani.........maamuzi mengi yameandaliwa na kina Patel,Falambia,RA.nk.........wewe hujui kwani vitu vingine mawaziri wa CCM wanawapa majembe ya CDM ili kuwasaidia kuilipuwa serikali..........Acha utoto dogo!!
 
Huyu ndie angekuwa waziri wetu wa Uchukuzi kama CDM ingepewa nchi 2010.


Kwa kuwa nina maslahi na wizara husika nimefatilia kwa makini hotuba ya Mhe Harrison G Mwakyembe mwanzo mwisho. Katika hotuba yake alizungumzia suala la kandarasi ya CCC kuwa ilisimamishwa na Serikali iliiomba Serikali ya China kuteua mkandarasi mbadala huyu waziri kivuli anauliza maswali ya CCC ambayo majibu yapo kwenye hotuba ya mhe mwakyembe.

Ameuliza ukarabati wa meli mwakyembe ameelezea mikakati ya kuzifanyia repair meli ikiwemo mv ss liemba!

Waziri wetu kivuli amepwaya!

Hivi huyu hakuipata hotuba ya Mwakyembe ambayo yeye angeitumia kuandaa hotuba mbadala?!!! Khaaa

Aibu sana inasikitisha, inahuzunisha na inakatisha tamaa!!!


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Wamezoea kutusi kwenye viti wakifika mbele wanababaika wangemwachia Lisu akiongea mpaka mishipa ya shingo inamsimama sijui naye hawezagi kuongea kawaida.
 
Wewe Acha mambo yako, majibu yanatolewa mangapi na mawaziri lakini ya uongo..............., hii wizara iliuza reli chini ya enzi za chenge wakatowa majibu kwamba uuzwaji wa reli ungeleta ufanisi lakini waapi?? Alafu piaKazi ya upinzani na wabunge bungeni ni kuihoji serikali na sio kama wabunge wa CCM wanavolaamika kisha mwisho..................makinda.....''wangapi wasemandio..........CCM........ndioooooo!! aibu kubwa: Nakwambia vingewekwa vifaa vya kielektroniki vya kupigia kura kwa siri bungeni..Hata Nchemba,Lukuvi na Pinda wangepinga baadhi ya maamuzi ya serkali kwani.........maamuzi mengi yameandaliwa na kina Patel,Falambia,RA.nk.........wewe hujui kwani vitu vingine mawaziri wa CCM wanawapa majembe ya CDM ili kuwasaidia kuilipuwa serikali..........Acha utoto dogo!!
Umezungumza meeeengi ambayo hayahusiani hata chembe ya kilichowasilishwa na waziri wetu kivuli, atlist ungesema amefunika vibaya sana!


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Gekulu yuko vizuri sana na mmoja wa wabunge wa viti maalumu ambao ni majembe,mfuatilie utaamini,fuatilia michango yake bungeni utakubaliana na mimi,mleta mada umenisikia?
 
Mbona mawaziri wenu wanapwaya kama wakina Kawambwa, Maghembe ,Mathayo David Msuya na wengine wengi tu!!
 
Back
Top Bottom