Waziri Kijaji: Nasubiri ripoti ya Tume inayochunguza upya tukio la Makonda kuvamia Clouds

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,230
12,958
Makonda aliwai kuwaambia waalimu wakidai nyongeza ya mshahara atawacharaza viboko kama watoto, mbaki na hapo aliwai kusema ofisi yake imejaa wafanyakazi mizigo hawana kazi wanazunguka zunguka tu, , makonda aliku anawakosea sana watu
lakini sawa tu yaliyopita wayaache ashajifunza wamsamehe
 
Un educated person akawa mkuu wa mkoa haya yanatokea Tanzania tu chini ya ccm
 
Kwani Nape aliondoka nayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…