... lifanyiwa kazi ndio! Ugali wa Nape ulimwagwa; ni matokeo ya ile ripoti.Ile ripoti ya Nape ilifanyiwa kazi?
Un educated person akawa mkuu wa mkoa haya yanatokea Tanzania tu chini ya ccmMakonda aliwai kuwaambia waalimu wakidai nyongeza ya mshahara atawacharaza viboko kama watoto, mbaki na hapo aliwai kusema ofisi yake imejaa wafanyakazi mizigo hawana kazi wanazunguka zunguka tu, , makonda aliku anawakosea sana watu
lakini sawa tu yaliyopita wayaache ashajifunza wamsamehe
Ndugu Mpinzire , kayasemea wapi hayo!?Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Ashatu Kijaji, amesema wizara inasubiri ripoti ya tume iliyoundwa kuchunguza tukio la aliyewahi kuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, kuvamia kituo cha utangazaji cha Clouds mwezi Machi 2017.
Pia soma
Bwasheh unaambiwa watu wanazo cctv videos za yaliyofanyika zaidi ndani πππNgoja tuone!
Mbona kwa Sabaya na Mbowe hazikuundwa tume?
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Ashatu Kijaji, amesema wizara inasubiri ripoti ya tume iliyoundwa kuchunguza tukio la aliyewahi kuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, kuvamia kituo cha utangazaji cha Clouds mwezi Machi 2017.
Pia soma
Kwani Nape aliondoka nayo?Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Ashatu Kijaji, amesema wizara inasubiri ripoti ya tume iliyoundwa kuchunguza tukio la aliyewahi kuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, kuvamia kituo cha utangazaji cha Clouds mwezi Machi 2017.
Pia soma