alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 5,688
- 12,160
Kwahiyo unaona una hoja?
Kwahiyo unaona una hoja?
Wewe si urukeruke kwa furaha. Shida ipo wapi. Ubabe wa Mbowe chadema wanauheshimu. Ubabe wa magufuli CCM na watendaji wanauheshimu. Shida ipo wapi. Mtu anachezea maji wadai anakutimulia vumbi. Acha ujinga dogoHaijatumika demokrasia kuwakataza watu wasigombee
Mbowe ametumia ubabe
Mkuu hii haikuwa na sababu ya kuanzisha uzi wake, ungeenda kwenye ule uzi wa Jaffo kubandika majina ya wagombea wote na kuuliza hili swali.Ikitokea majina ya wagombea wa vyama vilivyojitoa kwenye uchaguzi yakawekwa kwenye karatasi la kura kama Jaffo alivyosema na wananchi wakayapigia na kushinda. swali ni je vyama hivyo na wagombea wao watakuwa na ujasiri wa kugomea kuongoza wananchi?
KweliMkuu hii haikuwa na sababu ya kuanzisha uzi wake, ungeenda kwenye ule uzi wa Jaffo kubandika majina ya wagombea wote na kuuliza hili swali.
Asante.
Jafo Yuko sahihi.
Mchakato ulishakamilika .
Mtu aliyegombea ndiye anatakiwa atangaze kujitoa sio atolewe na Chama Hadi dakika hi hakuna mgombea yeyote wa upinzani aliyetangaza yeye binafsi kujitoa kwa wasimamizi wa uchaguzi.Swala la kujitoa ni.la mgombea sio Chama.Chama hakikuomba kugombea.Na hakuna mahali kwenye fomu ya kugombea ambapo Chama kiliomba kugombea
Hata ukishinda rufaa hutashinda kwenye kura, wanachotaka kuwe na wagombea kwenye uchaguzi lakini walibug kuwatoa mapema sasa wanataka kusahahisha makosa yao
Jafo Yuko sahihi.
Mchakato ulishakamilika .
Mtu aliyegombea ndiye anatakiwa atangaze kujitoa sio atolewe na Chama Hadi dakika hi hakuna mgombea yeyote wa upinzani aliyetangaza yeye binafsi kujitoa kwa wasimamizi wa uchaguzi.Swala la kujitoa ni.la mgombea sio Chama.Chama hakikuomba kugombea.Na hakuna mahali kwenye fomu ya kugombea ambapo Chama kiliomba kugombea
Hiki ndicho alichokuwa anamaanisha Matola katika post yake leo asubuhi. He is well informed. Hatari sana hii nchi. Sijui inashindikana nini waziri huyu kukaa meza moja na hawa wadau wanaolalamikia rafu hizo ili kuaddress concerns zao, badala yake wanalazimisha uhuni?
Mkutano mkuu wa Chama Cha siasa pekee ndio wenye uamuzi mzito Kama huo .Hilo jambo linatakiwa kuamriwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa chama wa kutoka kila Kona ya nchinsababu Ni la kitaifa na linahusu kila Kona ya nchi .Chadema na ACT hawajaitisha mkutano mkuu wa taifa wa dharura kutoa huo uamuzi wa kujitoa kwenye uchaguziINA MAANA KUNA MGOMBEA BINAFSI BILA KUPITIA CHAMA CHA SIASA.HII LUGHA KUWA CUAMA NDICHO KIMEJITOA,ILA WAGOMBEA WANAENDELEA ,IMEKAAJE?Bila kuwa mwanachama wa chama cha siasa hauruhusiwi kugombea.hivyo chama kikisema basi najitoa,automatically na wewe mgombea huwezi kuendelea
Ukiwa kule unajitoa ufahamu akili wamewekeza kwenye ahadi ya kazi walizoahadiwa mwaka wa 4 sasa comrades wanasubiriChama kimeondoa udhamini wake kwa mgombea anawezaje kuendelea kuwa mgombea wa hicho chama? Hivi zenu akili zimeshikiliwa na ccm?
sindio vizuri mjitangazie ushindi nchi nzimaHaijatumika demokrasia kuwakataza watu wasigombee
Mbowe ametumia ubabe