Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,505
- 18,204
- Thread starter
- #261
Makosa la huyo dada yamekwisha ainishwa kutoka kwa wachangiaji waliotangulia. Ila kwa ufupi makubwa ni :-Mkuu, niambie kosa la huyo Dada. Hao watoto wamejieleza wazi sababu za wao kuona wanachukiwa na Baba zao.
Au kwa mtazamo wako ulitaka aseme na ambao wanachukiwa na mama zao watoke mbele?
1. Kuwahoji mbele ya wanafunzi wenzao, hii yaweza kusababisha wakawa "bullied"
2. Kuwarekodi na kutawanya clip bila consent ya wazazi wote wawili
3. Kusikiliza watoto bila baba zao hivyo kuvunja kanuni ya audi alteram partem (hear the other side)