Waziri Gwajima, hii anayofanya Lillian Mwasha kwa watoto siyo sawa

Its all about Wanaume?
Playing Gender card wont help hapa......
Kwa kuwa umesema kuhusu wanaume nitasema kuhusu wanawake.
Ili yasitokee hayo.
1. Mwanamke asikubali kubeba mimba ya mtu asiye eleweka.
2. Mwanamke asi " tegeshe" ipatikane mimba ili kulazimisha kuwa pamoja ( ndoa) hasa kama anajua mwanaume aliyenaye ana mipango mingine.
3. If mahusiano yalikufa , mtoto asilishwe "sumu" juu ya baba ake, baba ake apewe " access" ya mwanawe, pia mtoto asitumike kama ndio chanzo cha kupiga hela in a name of " Child support".
Vitu ni vingi aseee, ila kusema hili ni jambo la wanaume pekee aseee hii ni issue.
Na haitosaidia chochote.
Ain’t trying to play gender card, atleast not here sweet!

Sitaandika mengi kwa maelezo yako ambayo yanajibiwa na neno moja tu “Haukubakwa”. And you had options za kutokumwaga ndani au kuvaa Condom, usijustfy irresponsibility in the name of ulitegeshewa, unawezaje kutupa ushahidi wakutegeshewa ikiwa mlikuwa wawili chumbani? Kama ulibakwa sawa, je ulireport popote for further reference?? It sounds funny I know.

Nchi yetu haijaruhusu sheria ya abortion, Kwahiyo kama two people were humping kikapatikana kiumbe ni busara kukilea kwa pamoja. “Pamoja not necessarily ikawa ndoa”.

Mtoto akishazaliwa ni matokeo tayari, hakuna justfication ya kutokuwepo katika maisha yake unless umepima DNA umejiridhisha sio wa kwako.

Mwisho; sijui mengi yanayoendelea kwenye mahusiano yenu, kwa hicho ulichokiita kulishwa sumu, ila nilikua najaribu kueleza maumivu wanayopitia hao watoto waliokataliwa, Sikia mtoto ni mtoto haimaanishi ni mjinga, kama ulijaribu kuwa katika maisha yake atajua tu, na kama ulimkataa mazima atajua tu ni suala la muda, hao wasichana hapo ni wakubwa, probably wanaelewa vizuri kilichotokea kwenye maisha yao na wazazi wao.
 
Sioni alichokosea, ifike wakati wababa wawajibike na malezi
Hao wasichana wanahitaji upendo na malezi ya baba zao
Yani wewe hauoni alichokosea!! Kweli wewe una JINSIA MBILI.
Wewe umewaza kuwajibika kwa baba, je upande wa baba ushawai kuhusikia lawama zake juu ya upande wa mzazi mwezake?
 
Hili ni lifeminist tu linajikuta linamshirikisha Mungu kwenye mambo ya kipumbavu, mara nyingi au mara zote baba kukataa kuhudumia mtoto hapo ujue chanzo ni mama sema madingi hatunaga time ya kuzungumzia yanayotusibu tunakausha na Mungu ndo muamuzi.

Feminist huyu ni wa kupuuzwa hayo maombi yenyewe ukiyaangalia kwa jicho la tatu ni ya mchongo, maombi kashayafanyia rehearsal kayakariri mpuuzi mmoja wa kupuuzwa.
Wewe ni mpuuzi. Kwahiyo wanaume wote duniani wanaokataa kuhudumia watoto ni kwasababu ya mwanamke? you were born angels au sio? Pathetic creatures wote wanawaza hivi
 
FaizaFoxy, Habari za asubuhi FaizaFoxy. Utanisamehe Sana kwa kuwa sijaja humu JF kukubaliana na kila jambo ambalo litakupendeza wewe. Kwa upeo wangu huu huu, katika hili, diagnosis yangu ni kuwa, huyu Lilian Mwasha amekosea hiki alichofanya, hakifai. Na kwa upeo wangu huu huu sijalala hadi nikampata na kumwambia hapa umekosea na aondoe hizo video mitandao yake yote. Na kwa huu upeo wangu, nimemwagiza kamishna wa ustawi amwite kwa hatua zaidi na kufika kwenye hiyo shule waliko hao waalimu na watoto kwa hatua zaidi na tamko litolewe la marufuku kuhusu Kila mtu kuingia kwa watoto na kutoa huduma aina hizi na zingine. Na pia hatua zingine zaidi zichukuliwe kwa mujibu wa taratibu za ustawi. Haya, na wewe Sasa kwa kuwa unao upeo mkubwa kabisa, ongezea tufanye nini zaidi.

Ila acha chuki binafsi Ili twende sawa. Nakubariki, ubarikiwe

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Kudos Mheshimiwa, suala la wazazi kutelekeza watoto ni suala moja, Alilolifanya Lilian ni suala lingine kabisa ambalo ndilo lengo la hii thread.

Umeelewa kwa usahihi mheshimiwa, na umechukua hatua sahihi.

By the way, kuna miongozo ya kufanya kazi na watoto (working with children), ili kutokusababisha Vulnerability na harm. Hili litiliwe mkazo, sio kila mtu anapaswa kupewa access na watoto tena wa sensitive issues kama hizi.
 
Mkuu kuna wanawake wapumbavu mno hapa duniani. Kuna dada kazaa na kaka yetu akawa analalamika hapati huduma.. sisi kama familia tukamwambia akiwa na shida yoyote asisite kutuambia ili tumsaidie lengo likiwa kutomlisha sumu mtoto. Binafsi nilijitolea sana mwanzoni. Shemeji akaona hapa ni mserereko akaanza kuleta mambo ya kifala mno. Akitaka kitu anasingizia jambo linalohusu mtoto na ubaya ni kwamba hapigi simu yeye bali humpa mtoto aongee. Ile hali ikaendelea nikaamua kumtolea uvivu kumwambia kama kuna shida anieleze mwenyewe bila kumpa mtoto simu. Baada ya kumwambia hivyo akanisusa na kuhamia kwa ndugu yangu mwingine. Hadi ninavyoandika hapa wote tumemblock kwa kuepuka upuuzi aliokuwa akifanya. Bro wangi yule alikuwa sahihi kabisa kukaa nae mbali.
Mkuu, sisi tumeumbwa kuwaongoza wanawake, sisi wanaume ni viongozi wao. Mwanaume ni mtatuzi wa changamoto zote.

Huwezi kumuacha mtoto wako apate shida kwasababu ya visirani na tabia mbaya za mwanamke uliyezaa nae. Unaweza kukaa mbali na mwanamke uliyezaa nae ila hutakiwi kukaa mbali na mtoto wako, damu yako. Wapo wanaume wameenda hadi mahakamani ili wapate fursa ya kulea watoto wao pale ambapo mwanamke ameanza kuleta visirani.

Ukitafuta sababu za kutelekeza mtoto au kutotimiza wajibu wako kama mzazi hautozikosa mkuu. Lakini zote hazitokuwa na mashiko hata kidogo.
 
Amekosea, huwezi kuona kwa kuwa siyo taaluma yako pengine, lakini hata kama siyo taaluma yako, kwa mawazo ya kawaida kabisa, huwezi kwenda kufanya haya kwa utaratibu ule. Cancelling huwa ni huduma patanishi na hufanyika kwa usiri na kwa utaratibu rasmi na huzingatia pande zote.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Hivi utaratibu wa kuwafanyia canceling single mothers upo au tuufanyie tafiti!!?
Nijanga kwa sasa maana katika wanawake 10 wanaotaka kuanzisha mahusiano mapya 8 ni single mothers!
Au turudishe maamuzi ya kuwajibisha vijana kwa wazee wa mila, kaya au koo kama zamani!? Mfano ni kule meru! No kiduku , no mini skirt, no mlegezo na maujinga mengineyo!
Serikali shirikianane na na hizi mila kuoitia wazee nyie kama serikali muwe watu wa kati na wamwisho ila mamlaka ya kuadhibu waachieni wazee huko nyie mtoe tamko na muwe waamuzi wa kati na mwisho!
 
Eti nami akili yangu ikanituma kuwa nijali tu hoja zake kama binadamu mwenzangu nikiamini labda nami naweza kumshauri kama yeye anavyoshauri wengine Ili kama kusudi letu ni moja kwa ustawi wa JMT yetu, basi twende naye sawa Nadhani Mungu atanijalia karama ya roho wa kutambua uelekeo wake na kisha huenda sasa nikamwacha ajitukuze yeye kwa kusudi lake nami niendelee na langu. Nakubaliana kabisa na ww, maana mara zote akili yangu mm ndogo yake ndiyo super brain

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Ana wazimu huyo ni brainwashed hujikuta yeye ndo anajua kila kitu...
 
FaizaFoxy,
Kwamba Mh. Waziri ajue yajayo vichwani mwa Watanzania wenye kichaa..
Yani ilibidi ajue Anachoenda kufanya Lilian!!?

Alafu mbona keshachukua hatua.

At least she is the only Minister that has this live engagement with us. We mwanamke wewe..

Give Credit when it's due..

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Huyo akishaona majina ya kigalatia mfano kina Ester,Dorika or Dorice,Maria n.k mapepo yanampanda....
 
Ustafute umaarufu kwa mambo ambayo wewe ni mbumbumbu. Bakia kwenye fasishi zako tu zisizo na kichwa wala miguu.

Hivi ni watoto wangapi wanajuwa ni nani analipa ada ya shule? Mimi binafsi niko na mke wangu miaka zaidi ya 30. Suala la ada za shule huwa mke wangu ananipa summary ya mahitaji ya watoto na ninamkabidhi. Na yeye ndiyo ana deal na kuwalipia.

Sasa Lillian Mwasha akikutana na mwanangu akamuuliza swali kama hilo si atajuwa kuwa na mimi nimemtlekeza mwanangu!!

Hebu Robert Heriel Mtibeli soma majibu ya waziri kwenye comments mbalimbali ukiwa na akili yenye utulivu, utaelewa kosa la Lillian Mwasha
Huyu nae ni mgonjwa... Afya Ya Akili ni serious problem nchini.. very serious.
 
FaizaFoxy, Habari za asubuhi FaizaFoxy. Utanisamehe Sana kwa kuwa sijaja humu JF kukubaliana na kila jambo ambalo litakupendeza wewe. Kwa upeo wangu huu huu, katika hili, diagnosis yangu ni kuwa, huyu Lilian Mwasha amekosea hiki alichofanya, hakifai. Na kwa upeo wangu huu huu sijalala hadi nikampata na kumwambia hapa umekosea na aondoe hizo video mitandao yake yote. Na kwa huu upeo wangu, nimemwagiza kamishna wa ustawi amwite kwa hatua zaidi na kufika kwenye hiyo shule waliko hao waalimu na watoto kwa hatua zaidi na tamko litolewe la marufuku kuhusu Kila mtu kuingia kwa watoto na kutoa huduma aina hizi na zingine. Na pia hatua zingine zaidi zichukuliwe kwa mujibu wa taratibu za ustawi. Haya, na wewe Sasa kwa kuwa unao upeo mkubwa kabisa, ongezea tufanye nini zaidi.

Ila acha chuki binafsi Ili twende sawa. Nakubariki, ubarikiwe

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Mh. Dr Gwajima D, kwa jinsi unavyoijali kazi yako, nimekuvulia kofia👏👏👏🙏

Ninakufananisha na kuku wa kienyeji anayeyaatamia mayai yake kwa ajili ya kuvitotoa vifaranga. Huwa wako tayari kushinda ndani bila kula ili tu kuhakikisha mayai wanayoyaatamia hayahatiribiki kwa kupigwa na ubaridi.

Mchango wako wa mwisho kwenye huu uzi uliutoa saa Jana saa 2237, na huu wa sasa (leo) ni wa saa 0447.

Inafahamika kuwa mbali na kuwa Kiongozi wa Serikali, wewe pia ni mke na mama! Kwa hiyo hata ukitoka kazini bado una majukumu ya kifamilia n.k.

Ndiyo maana najiuliza, "huyu mama anapata muda wa kutosha kupumzika?"

Inawezekana alilala kwenye saa Sita au Saba za Usiku, lakini bado amemudu kuamka mapema na kuanza majukumu yake hata kabla hajaenda ofisini!

Dr, hakika unanihamasisha sana kwa uchapaji kazi wako! Hongera sana mama🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom