binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 8,969
- 22,505
Ain’t trying to play gender card, atleast not here sweet!Its all about Wanaume?
Playing Gender card wont help hapa......
Kwa kuwa umesema kuhusu wanaume nitasema kuhusu wanawake.
Ili yasitokee hayo.
1. Mwanamke asikubali kubeba mimba ya mtu asiye eleweka.
2. Mwanamke asi " tegeshe" ipatikane mimba ili kulazimisha kuwa pamoja ( ndoa) hasa kama anajua mwanaume aliyenaye ana mipango mingine.
3. If mahusiano yalikufa , mtoto asilishwe "sumu" juu ya baba ake, baba ake apewe " access" ya mwanawe, pia mtoto asitumike kama ndio chanzo cha kupiga hela in a name of " Child support".
Vitu ni vingi aseee, ila kusema hili ni jambo la wanaume pekee aseee hii ni issue.
Na haitosaidia chochote.
Sitaandika mengi kwa maelezo yako ambayo yanajibiwa na neno moja tu “Haukubakwa”. And you had options za kutokumwaga ndani au kuvaa Condom, usijustfy irresponsibility in the name of ulitegeshewa, unawezaje kutupa ushahidi wakutegeshewa ikiwa mlikuwa wawili chumbani? Kama ulibakwa sawa, je ulireport popote for further reference?? It sounds funny I know.
Nchi yetu haijaruhusu sheria ya abortion, Kwahiyo kama two people were humping kikapatikana kiumbe ni busara kukilea kwa pamoja. “Pamoja not necessarily ikawa ndoa”.
Mtoto akishazaliwa ni matokeo tayari, hakuna justfication ya kutokuwepo katika maisha yake unless umepima DNA umejiridhisha sio wa kwako.
Mwisho; sijui mengi yanayoendelea kwenye mahusiano yenu, kwa hicho ulichokiita kulishwa sumu, ila nilikua najaribu kueleza maumivu wanayopitia hao watoto waliokataliwa, Sikia mtoto ni mtoto haimaanishi ni mjinga, kama ulijaribu kuwa katika maisha yake atajua tu, na kama ulimkataa mazima atajua tu ni suala la muda, hao wasichana hapo ni wakubwa, probably wanaelewa vizuri kilichotokea kwenye maisha yao na wazazi wao.