ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,060
- 49,744
My Take
Hata Mimi naungana na VP Mpango ,kusema kwamba haoni ni uongo mkubwa na muendelezo wa ubishi,ujuaji na ujeuri wa watu wa Mkoa wa Mbeya.
Kiufupi ni utovu wa Nidhamu.
Katika kipindi ambacho Mbeya imependelewa Kwa miradi ni awamu hii ya 6 ambayo Spika anatoka Mkoa huo.
---
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ameonesha Kutofurahishwa na kauli ya mwenyekiti wa chama Cha mapinduzi Mkoa wa Mbeya Dkt Stephen Mwakajumilo kwamba hawajaona juhudi zozote ambazo zinachukuliwa kukamilisha baadhi ya miradi ya Mkoani humo
Dkt Mpango amesema Mkoa wa Mbeya na Mikoa yote nchini Kuna miradi mingi ya Maendeleo inayotekelezwa katika sekta mbalimbali ya Miundombinu, Maji, Umeme, Afya na elimu licha ya kwamba Nchi ina mahitaji makubwa, hivyo mwenyekiti kiu yake ni kutaka kuona miradi mingi inatekelezwa.
Hata Mimi naungana na VP Mpango ,kusema kwamba haoni ni uongo mkubwa na muendelezo wa ubishi,ujuaji na ujeuri wa watu wa Mkoa wa Mbeya.
Kiufupi ni utovu wa Nidhamu.
Katika kipindi ambacho Mbeya imependelewa Kwa miradi ni awamu hii ya 6 ambayo Spika anatoka Mkoa huo.
---
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ameonesha Kutofurahishwa na kauli ya mwenyekiti wa chama Cha mapinduzi Mkoa wa Mbeya Dkt Stephen Mwakajumilo kwamba hawajaona juhudi zozote ambazo zinachukuliwa kukamilisha baadhi ya miradi ya Mkoani humo
Dkt Mpango amesema Mkoa wa Mbeya na Mikoa yote nchini Kuna miradi mingi ya Maendeleo inayotekelezwa katika sekta mbalimbali ya Miundombinu, Maji, Umeme, Afya na elimu licha ya kwamba Nchi ina mahitaji makubwa, hivyo mwenyekiti kiu yake ni kutaka kuona miradi mingi inatekelezwa.