Huyu utafikiri hakuwepo hii miaka 5, halmashauri zote zina wakurugenzi wana CCM, DC's, DAS's, RAS's na RC's wote hawa ni CCM lakini bado wana CCM wanalalamika. wapuuzi nyie.Waziri wa fedha Dkt. Mpango amewataka watumishi wote wa Hazina kuwa makini zaidi kwa sababu fedha nyingi za serikali bado zinapotea kwenye miradi inayotekelezwa kwenye halmashauri.
Dkt. Mpango amesema Serikali inahitaji fedha ili kukamilisha miradi ya kitaifa ikiwemo ujenzi na ukarabati wa meli, ujenzi wa SGR, ununuzi wa ndege 5 nk hivyo haitavumilia uzembe wowote unaopelekea upotevu wa mapato ya serikali kwenye matumizi.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mtoto wa dadaLeo ndiyo nmemuona DottonJames
Labda wewe na Amsterdam ndo mnahasira zaidi.Sasa hizo ndege tano za nini wakati hizi ambazo tunazo zinatutia hasira tu