Waziri Chamurilo: Familia(Mfugale) wameonesha sintofahamu (ombwe) kwamba ilikuwa haifahamu, Mhandisi Mfugale alisema anajisikia vibaya kikaoni

Sasa unaenda Hospital kufanya kama siku haijafika utaishi tu. Wewe unaongelea wepesi wana familia wanasema hawajui kimetokea nini haki yao kuuliza kumpa mtu huduma ya kwanza ni jambo muhimu kwa mgonjwa yoyote. Hakuna mtu analaumu mtu kufa wana familia wamehoji nini kilitokea hawajui anakuja mtu kutoa maelezo baada ya kuongea katika msiba mbele ya Rais kwanini wasingeambiwa kabla. Vikao kasema tulisogeza mbele kwa ajili yake alikuwa na majukumu mengine siku ya kikao kinaendelea yeye hayuko anajisikia vibaya. Ba uhakika hawahusiki na lolote ila hatua walizochukuwa ni dharau mtu hajisikii hovyo unasema kapumzike ofisi ile kwani alisema na usingizi sijalala mimi.
Dharau kivipi we bwana?
Hizo first aid procedure uliwafundisha?.

and hamna alietegemea Baba wa watu atafariki ndo mana walikuwa nae bado Ofisini ajiskilizie hali kwanza.,
 
Ukiwasikiliza pande zote mbili ni utata.
Mfugale alifia ofisini kwenye kiti.
Hao hawajawahi kuuguza.
Aliyeuliza swali kwa wafanyakazi"Kimetokea nini"
Ikiwa aliwaambia anajisikia vibaya, kwa nini waliendelea na kikao badala ya kumkimbiza hospitali?? Walijua kinachoendelea hao!!!!
 
Maoni mazuri sana. Mimi niliondoka Tanzania sijui chochote kuhusu first aid lakini nchi niliyoenda nikuta mpaka mashuleni wanafundisha. Kazini ndiyo usiseme, kila baada ya miaka miwili lazima mpewe trainning na first aid kits hazikosekani. Tanzania hata watu ambao wangeweza kupona wanakufa.
Kwa wenzetu ni muhimu sana na imekuwa inaokoa maisha ya watu sana.
Hapa kwetu moyo ukisimama gafla mtaani. Utaishia kupepewa tu!
 
Dharau kivipi we bwana?
Hizo first aid procedure uliwafundisha?.

and hamna alietegemea Baba wa watu atafariki ndo mana walikuwa nae bado Ofisini ajiskilizie hali kwanza.,
Unajuwa unapokwenda mpirani tu ni lazima kuwe na huduma ya kwanza ni sheria pale Dodoma kuna Goverment city wizara zote ziko pale wafanyakazi wote wa serikali kuu wako pale ni lazima kuwe na kituo cha kutoa huduma ya kwanza ni lazima lazima uwelewe kutoka pale mpaka ufike Hospital mjini ni kama Km 20 haya mambo hayahitaji kuwa degree kuyafanya ni mambo ya lazima kama huduma za maji na umeme pale.
 
Hoja za kikaguzi ambapo CAG amesema ni mapungufu na siyo ubadhirifu haziwezi kumtisha mtu ambae ameshakutana na hoja mbalimbali za ukaguzi. Watu ukiwasikiliza hufikiri kua hoja za ukaguzi ni ubadhirifu bali hua ni Audit Query(Hoja za ukaguzi) ambazo hujibiwa na baadae kua cleared. Hoja mbaya ni ile kama iliyotokea kwa Boss wa TPA ambapo kulikua na viashiria vys UBADHIRIFU na siyo MAPUNGUFU kama barua ya Mkurugenzi wa Rais Ikulu ilivyofafanua ripoti ya Ukaguzi maalum.
Hongera mkuu kwa point matata...huwezi kufanya kazi serikali za kiafrika hasa Tanzania kwa miaka zaidi ya 40 usikutane na hoja za CAG kwa mtu wa cheo cha mwandamizi ktk taasisi. Hii sio bongo
 
Sawa. Lakini baridi nayotoka kwenye ACs kwenye ofisi nyingi ni mojawapo_ya sababu
Baridi haiwezi kukuondoa haraka hivyo. Labda kama hizi AC zinatoa na vitu vingine. Itabidi ni check nisije kufia kwenye ofisi za watu!!
 
Dharau kivipi we bwana?
Hizo first aid procedure uliwafundisha?.

and hamna alietegemea Baba wa watu atafariki ndo mana walikuwa nae bado Ofisini ajiskilizie hali kwanza.,
Mambo ya ajabu sana haya... Mtu anajisikia vibaya alafu aende ofisi ya mkurugenzi akasikilizie hali yake!?! Kweli! Kuna umuhimu wa kuajiri wataalamu wa afya (first aiders/paramedics) kwenye kila ofisi/idara ya serikali!
Huyo Mzee kafa kizembe sana!
 
Mambo ya ajabu sana haya... Mtu anajisikia vibaya alafu aende ofisi ya mkurugenzi akasikilizie hali yake!?! Kweli! Kuna umuhimu wa kuajiri wataalamu wa afya (first aiders/paramedics) kwenye kila ofisi/idara ya serikali!
Huyo Mzee kafa kizembe sana!
Asbh hadi jioni wanakuwa na kazi gani?
Heri useme eneo kama hilo la Mji wa Serikali liwe na Hospital yake hapo watumishi wapate huduma za haraka

hata Dispensary kwa kuanzia
 
Asbh hadi jioni wanakuwa na kazi gani?
Heri useme eneo kama hilo la Mji wa Serikali liwe na Hospital yake hapo watumishi wapate huduma za haraka

hata Dispensary kwa kuanzia
Listen Mzee... Ukienda kule sekta Binafsi kwenye ofisi au idara serious lazima ukute hao wataalamu paramedics on duty... Na hiyo inakuwa ni sehemu ya Emergency Response Plan and Evacuation Procedures! Na staff lazima wawe well trained!
Fahamu kuwa Mazingira yako ya kazi yanahatarisha usalama wako kama mwajiriwa. Sema waajiriwa wengi mnawaza mishahara, posho na titles. Afya zenu wala hamjali!
 
Unajua Donald Trump alikua rais akiwa na umri gani? Pia angalia umri wa yule mama speaker wa bunge lao. Halafu uje tena na hoja ya umri.

Nadhani ni mazingira yetu na mfumo wa maisha yetu ndio shida
Epuka kulinganisha USA na JMT
Linganisha JMT na Burundi au Kenya au hata Zimbabwe
 
Mtu ikifika siku yake ya kuondoka hakuna wa kuzuia
Watu wanasema kuhusu huduma ya kwanza
Tukumbuke pia mtu huyo anatakiwa nae awe mzalendo hasa
Maana kwa jinsi watu wanavyopenda vyeo mtu anaweza akuangalie tu ili achukue nafasi
 
Back
Top Bottom