babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,221
- 3,167
Nothing to do with AC!Jamani kuweni makini na hizo AC hasa ukiwa na magonjwa nyemelezi.
Kuna maofisi mengi tu watu wanajiua kimya kimya. Yaani unaingia ofisini unakuta baridi ya kwenye friji! Wapendwa! Mnajiua!
Ukiwa na AC zingatia yafuatayo:
1. Room temperature
2. Refrigerant iliyopo ndani ina madhara gani? Refrigerant nyingi huku Tz ni sumu kamili!
Inaweza kuwa ni heart issue, BP na mengine mengi.
Kama tatizo lilikuwa ni AC ingewazuru pia wengine kwenye hiyo ofisi!