KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 3,117
- 5,321
Ni ukweli usiopingika kuwa waziri Bashe anafanya makosa yanayoweza kuepukika hususani yale yanayoweza kuhatarisha diplomasia ya nchi kwa nchi ambapo nyenzo kubwa ya kudumisha diplomasia ni mazungumzo na falsafa ya Rais Samia ya 4R inasimamia hilo.
Hili la kuzuia bidhaa kutoka Malawi na Afrika kusini ni kosa mmojawapo la kuepukika kupitia mazungumzo. Turejee ushauri niliotoa kwa waziri Bashe kwenye suala la mchele Waziri Bashe hakutakiwa kuukataa msaada wa mchele kutoka Marekani na kama alikuwa na mashaka yoyote angewatumia TBS
Hili la kuzuia bidhaa kutoka Malawi na Afrika kusini ni kosa mmojawapo la kuepukika kupitia mazungumzo. Turejee ushauri niliotoa kwa waziri Bashe kwenye suala la mchele Waziri Bashe hakutakiwa kuukataa msaada wa mchele kutoka Marekani na kama alikuwa na mashaka yoyote angewatumia TBS