Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
Bado yule mchokonoa pua...ukileta uzi wake iwe midaa ya saa tisa tukiwa tushapata cha mchana
Hahahahaaa!Muheshimiwa aambiwe aache kuguguna kucha kwa hisia kali!Wabongo nuksi sana
Mimi nakusihi wewe mleta mada uwache kufuatilia maisha binafsi ya mtu ambayo hayana athari yoyote kwako
sio utoto ni tabia ya kuzaliwa nayo ni kama watu wengine utakuta anapenda kukuna kidevu...wewe ndo uache utotoTangu akiwa mbunge,huyu bwana hussein bashe amekua na tabia kama mtoto mdogo za kula kucha..hata baada ya kuteuliwa kuwa waziri wa kilimo bado ameendelea kula kucha,kama kuna mtu yuko karibu yake humu amwambie anajitia aibu na anatutia aibu watanzania,baba zima kama yeye kula kucha ni aibu.
Mfano leo kwenye vikao vya sadc camera zimemmulika yuko busy tu anagugumia kucha badala ya kuconcentrate na mambo ya msingi yanayoendelea mkutanoni.
Hivi Rais wa Tanganyika/Tanzania bara ni nani ?Yanayoathari kwa taifa, yeye hivi sasa ni "public figure", kuna mambo akiyafanya hajiaibishi yeye pekee bali taifa zima, utatafunaje kucha mkutanoni tena mkutano wa kimataifa??--- impression yake nini??!!-- ina maana yeye ni mchafu kwa sababu huwa hakati kucha kwasababu huwezi kutafuna kucha ikiwa huna kucha na huwezi kutafuna kucha za kawaida kwa meno isipokuwa lazima ziwe ni kubwa kiasi kwamba meno yaweze kuzing'ata.
Huo ni uchafu kwani kucha zikiwa ndefu ni nyumba ya maradhi si kwako tu hata kwa wale utakaosalimiana nao pia.
Bashe lazima akate kucha.🤣🤣
Video tuone akizimeza kabisa alikurupuka na njaa kuwahi kikao nini!Picha
PictureTangu akiwa mbunge,huyu bwana hussein bashe amekua na tabia kama mtoto mdogo za kula kucha..hata baada ya kuteuliwa kuwa waziri wa kilimo bado ameendelea kula kucha,kama kuna mtu yuko karibu yake humu amwambie anajitia aibu na anatutia aibu watanzania,baba zima kama yeye kula kucha ni aibu.
Mfano leo kwenye vikao vya sadc camera zimemmulika yuko busy tu anagugumia kucha badala ya kuconcentrate na mambo ya msingi yanayoendelea mkutanoni.
Hivi Rais wa Tanganyika/Tanzania bara ni nani ?
Kwanini Zanzibar wana rais wakati Tanzania bara hakuna rais ?Hakuna tena kitu kinachoitwa Tanganyika, yenyewe ilikufa mwaka 1964 baada ya kuungana na Zanzibar.
Iliyopo badala yake ni Tanzania bara ambayo haina raisi tofauti na Zanzibar/Tanzania visiwani yenyewe inaye raisi.🇹🇿🇹🇿🤠🤠
Kwanini Zanzibar wana rais wakati Tanzania bara hakuna rais ?
Sisi watz tuna muungano wa ajabu dunia nzima.Ndivyo katiba inavyosema kwa sasa, ni hadi hapo itakapobadilishwa wakati itakapoonekana ipo haja ya kufanya hivyo, hapo ndipo na Watanzania bara watakuwa na raisi wao.🇹🇿.
Hakuna matata.
hivi polisi hawajauona huu Uzi au "mambo mengi,muda mchache$
😂😂😂🙌Huyu anatafuta ya Idris Sultan