harafu kuwa muelewa hivi mtu umeacha kazi private watakulipa fidia gani acha kutetea vitu vya ovyo jambo kama hili alijawai tokea
Ndicho alichosema Paschal hapo juu: Wanayo haki ya kulalamika na kudai fidia ya hasara waliyopata. Lakini kimsingi ukiwa kwenye probation period, unaweza kufutwa kazi kama ilivyofanyika. Paschal is right...