Katibu Mkuu Utumishi: Theluthi Moja ya Ma-DAS wapya wanahitaji Mafunzo kufahamu kazi waliyopewa

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,739
32,874
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg

Baadhi ya makada wa CCM walioshindwa kwenye mbio za urais na ubunge kuteuliwa kushika nafasi za Katibu Tawala wa Wilaya (DAS), wamezua mjadala kwa kile kilichoelezwa kuwa nafasi hizo ni za kiutendaji hivyo zinahitaji wasomi na wenye uzoefu serikalini.

Makada hao ni miongoni mwa watu 40 wapya kati ya 134 waliotangazwa juzi na Ofisi ya Rais-Utumishi kushika nafasi hizo kwenye uongozi wa wilaya.

Miongoni mwa makada waliotangazwa kuteuliwa kuwa Ma-DAS ni Amos Siyamtemi, ambaye aligombea urais kwenye Uchaguzi Mkuu uliopita, lakini akaishia ndani ya mchakato wa CCM, Kasilda Mgeni, mwandishi wa habari wa kituo cha televisheni cha Star TV ambaye alikuwa kiongozi wa Umoja wa Vijana wa CCM na aligombea ubunge wa viti maalumu mwaka 2010 bila ya mafanikio.

Wengine ni Mtella Mwampambwa, Aboubakar Assenga, Jasinta Mboneko, Gift Msuya, Hashim Mkomba, Edward Mpogolo na Adam Mzee, ambao wamewahi kugombea ubunge, udiwani au kushika nafasi kwenye ngazi tofauti za uongozi wa CCM.

Akiongea na gazeti la Mwananchi Mhadhiri wa Chuo Kikuu Dr Benson Bana amesema ingekuwa vema nafasi hizo zingetangazwa,sababu zinahusu nafasi nyeti ya utumishi wa umma,sababu nafasi hizo zinahitaji watumishi walio wazoefu na wa muda mrefu katika kada ya utumishi wa umma

Katibu Mkuu Utumishi Dr Laurian Ndumbaro amekiri kuwa wengi wa wateuliwa hawana uzoefu wa kazi za serikali na hivyo wanahitaji mafunzo ya muda mfupi ili kuendana na kazi wanazotakiwa kuzifanya

Chanzo: Mwananchi
 
Katibu Mkuu wa Chadema Taaluma na uzoefu wake ni Udaktari wa vichaa lakin kapewa kazi ya kusimamia utendaji wa Vyama Kwan ni kweli alivyosema Kigwangala kuwa Lissu aliwahi kuugua Uchizi ndio sababu Mbowe kamsogeza Mtaalam huyo hapo ufipa?
Mentor wenu ni mmiliki wa Madanguro jee mnahitaji uzoefu huo kuendesha chama?

Dr.Slaa kwa kutumia Phd yake ya theology mlimpa ukatibu mkuu Kwan hilo lilikuwa darasa la dini?
Tulizaneni mtafumua mshono bureee. Mwacheni Magu apige kazi
 
View attachment 363737 View attachment 363739 View attachment 363740
Baadhi ya makada wa CCM walioshindwa kwenye mbio za urais na ubunge kuteuliwa kushika nafasi za Katibu Tawala wa Wilaya (DAS), wamezua mjadala kwa kile kilichoelezwa kuwa nafasi hizo ni za kiutendaji hivyo zinahitaji wasomi na wenye uzoefu serikalini.

Makada hao ni miongoni mwa watu 40 wapya kati ya 134 waliotangazwa juzi na Ofisi ya Rais-Utumishi kushika nafasi hizo kwenye uongozi wa wilaya.

Miongoni mwa makada waliotangazwa kuteuliwa kuwa Ma-DAS ni Amos Siyamtemi, ambaye aligombea urais kwenye Uchaguzi Mkuu uliopita, lakini akaishia ndani ya mchakato wa CCM, Kasilda Mgeni, mwandishi wa habari wa kituo cha televisheni cha Star TV ambaye alikuwa kiongozi wa Umoja wa Vijana wa CCM na aligombea ubunge wa viti maalumu mwaka 2010 bila ya mafanikio.

Wengine ni Mtella Mwampambwa, Aboubakar Assenga, Jasinta Mboneko, Gift Msuya, Hashim Mkomba, Edward Mpogolo na Adam Mzee, ambao wamewahi kugombea ubunge, udiwani au kushika nafasi kwenye ngazi tofauti za uongozi wa CCM.

Akiongea na gazeti la Mwananchi Mhadhiri wa Chuo Kikuu Dr Benson Bana amesema ingekuwa vema nafasi hizo zingetangazwa,sababu zinahusu nafasi nyeti ya utumishi wa umma,sababu nafasi hizo zinahitaji watumishi walio wazoefu na wa muda mrefu katika kada ya utumishi wa umma

Katibu Mkuu Utumishi Dr Laurian Ndumbaro amekiri kuwa wengi wa wateuliwa hawana uzoefu wa kazi za serikali na hivyo wanahitaji mafunzo ya muda mfupi ili kuendana na kazi wanazotakiwa kuzifanya

‘Theluthi moja ya Ma-DAS wateule wanahitaJi mafunzo’
Teeeeeeeeh teeeeeeeeeh, tunabana matumizi
 
View attachment 363737 View attachment 363739 View attachment 363740
Baadhi ya makada wa CCM walioshindwa kwenye mbio za urais na ubunge kuteuliwa kushika nafasi za Katibu Tawala wa Wilaya (DAS), wamezua mjadala kwa kile kilichoelezwa kuwa nafasi hizo ni za kiutendaji hivyo zinahitaji wasomi na wenye uzoefu serikalini.

Makada hao ni miongoni mwa watu 40 wapya kati ya 134 waliotangazwa juzi na Ofisi ya Rais-Utumishi kushika nafasi hizo kwenye uongozi wa wilaya.

Miongoni mwa makada waliotangazwa kuteuliwa kuwa Ma-DAS ni Amos Siyamtemi, ambaye aligombea urais kwenye Uchaguzi Mkuu uliopita, lakini akaishia ndani ya mchakato wa CCM, Kasilda Mgeni, mwandishi wa habari wa kituo cha televisheni cha Star TV ambaye alikuwa kiongozi wa Umoja wa Vijana wa CCM na aligombea ubunge wa viti maalumu mwaka 2010 bila ya mafanikio.

Wengine ni Mtella Mwampambwa, Aboubakar Assenga, Jasinta Mboneko, Gift Msuya, Hashim Mkomba, Edward Mpogolo na Adam Mzee, ambao wamewahi kugombea ubunge, udiwani au kushika nafasi kwenye ngazi tofauti za uongozi wa CCM.

Akiongea na gazeti la Mwananchi Mhadhiri wa Chuo Kikuu Dr Benson Bana amesema ingekuwa vema nafasi hizo zingetangazwa,sababu zinahusu nafasi nyeti ya utumishi wa umma,sababu nafasi hizo zinahitaji watumishi walio wazoefu na wa muda mrefu katika kada ya utumishi wa umma

Katibu Mkuu Utumishi Dr Laurian Ndumbaro amekiri kuwa wengi wa wateuliwa hawana uzoefu wa kazi za serikali na hivyo wanahitaji mafunzo ya muda mfupi ili kuendana na kazi wanazotakiwa kuzifanya

‘Theluthi moja ya Ma-DAS wateule wanahitaJi mafunzo’
Wakati yunabana matumizi na watanzania tunakamulia kodi kila sehemu leo hii tunaingia gharama za kuwafundisha kazi makada wa ccm?
 
Katibu Mkuu wa Chadema Taaluma na uzoefu wake ni Udaktari wa vichaa lakin kapewa kazi ya kusimamia utendaji wa Vyama Kwan ni kweli alivyosema Kigwangala kuwa Lissu aliwahi kuugua Uchizi ndio sababu Mbowe kamsogeza Mtaalam huyo hapo ufipa?

Dr.Slaa kwa kutumia Phd yake ya theology mlimpa ukatibu mkuu Kwan hilo lilikuwa darasa la dini?
Tulizaneni mtafumua mshono bureee. Mwacheni Magu apige kazi
Kweli waliosema Waafrika hasa Kusini mwa Afrika tuna IQ ndogo hawakukosea kabisa.
 
Katibu Mkuu wa Chadema Taaluma na uzoefu wake ni Udaktari wa vichaa lakin kapewa kazi ya kusimamia utendaji wa Vyama Kwan ni kweli alivyosema Kigwangala kuwa Lissu aliwahi kuugua Uchizi ndio sababu Mbowe kamsogeza Mtaalam huyo hapo ufipa?
Mentor wenu ni mmiliki wa Madanguro jee mnahitaji uzoefu huo kuendesha chama?

Dr.Slaa kwa kutumia Phd yake ya theology mlimpa ukatibu mkuu Kwan hilo lilikuwa darasa la dini?
Tulizaneni mtafumua mshono bureee. Mwacheni Magu apige kazi
Huo ndo mwisho wako wakufikiri
 
Kweli waliosema Waafrika hasa Kusini mwa Afrika tuna IQ ndogo hawakukosea kabisa.
Waliosema hivyo IQ zao kubwa zimewafanya wahalalishe kulambwa vichogo na Wanaume wenzao na wewe unatamani IQ kubwa?
 
Katibu Mkuu wa Chadema Taaluma na uzoefu wake ni Udaktari wa vichaa lakin kapewa kazi ya kusimamia utendaji wa Vyama Kwan ni kweli alivyosema Kigwangala kuwa Lissu aliwahi kuugua Uchizi ndio sababu Mbowe kamsogeza Mtaalam huyo hapo ufipa?
Mentor wenu ni mmiliki wa Madanguro jee mnahitaji uzoefu huo kuendesha chama?

Dr.Slaa kwa kutumia Phd yake ya theology mlimpa ukatibu mkuu Kwan hilo lilikuwa darasa la dini?
Tulizaneni mtafumua mshono bureee. Mwacheni Magu apige kazi
Wewe wacha kutukana tu kisa inakosolewa ccm,tufikie mahali tuwe wakweli hivi kuna umuhimu gani wa kuwapa kazi hao vijana wasiyo na elimu ya kutosha kisa ni ukada?kuna watanzania wangapi wana elimu ya kutosha hapa nchini hawana kazi?
 
Waliosema hivyo IQ zao kubwa zimewafanya wahalalishe kulambwa vichogo na Wanaume wenzao na wewe unatamani IQ kubwa?
Mnazidi kuthibitisha uwezo wa IQ zet, Wachuna Ngozi, Wapiga Nondo, Wanaoua Vikongwe kwa imani za Kishirirkina, Mauaji ya Abino haya mambo ni TZ pekee, Juzi RC wa DAR kasema nini kuhusu hao wanaopumuliwa vichogo.
 
Back
Top Bottom