Amesikika waziri Angelina Mabula akidai kodi kwa wananchi choka mbaya:
Bila shaka hii ni juu ya kodi za pango la nyumba na tozo za Dr. Mwigulu zinazokusanywa juu kwa juu kupitia miamala ya simu.
"Inafikirisha kuwa sehemu kubwa ya pesa hizi zinazokusanywa kwa nguvu kutokea kwa wananchi hawa, zinaishia kulipia per diem na marupurupu ya kina Tiganga, Chavula, Kidando na wenzao waliopangiwa kesi ya kudumu Dar nje ya vituo vyao kazi."
Enyi serikali waoneeni imani wananchi hawa. Kwa hakika hata kuinuka kutokea kwenye Corona kwamba hata watasimama ni kudra kudra za Mola tu.
Hohehahe hawa wanao wagharimia nyie kwa yote, wangali na nini bado cha nyie kuchukua?
Ama kweli "wonders shall never end."
Bila shaka hii ni juu ya kodi za pango la nyumba na tozo za Dr. Mwigulu zinazokusanywa juu kwa juu kupitia miamala ya simu.
"Inafikirisha kuwa sehemu kubwa ya pesa hizi zinazokusanywa kwa nguvu kutokea kwa wananchi hawa, zinaishia kulipia per diem na marupurupu ya kina Tiganga, Chavula, Kidando na wenzao waliopangiwa kesi ya kudumu Dar nje ya vituo vyao kazi."
Enyi serikali waoneeni imani wananchi hawa. Kwa hakika hata kuinuka kutokea kwenye Corona kwamba hata watasimama ni kudra kudra za Mola tu.
Hohehahe hawa wanao wagharimia nyie kwa yote, wangali na nini bado cha nyie kuchukua?
Ama kweli "wonders shall never end."