Mjukuu wa Magika
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 636
- 1,205
Muacheni waziri wa fedha. Tatizo letu watanzania tuna akili ya umasikini
Ako kwa system me enyewe nikiingia huko miezi sita Nina Aston Martin24B ametoa wapi sasa?
Labda yako na ya Mama. Watu hawawezi kulalama hivi halafu Rais ana weka pamba nasikioni.Nawasalimu Wakuu,
Nchi inaenda pabaya Wakuu, TISS msaidieni mama..,. Hivi inakuwaje Waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?
Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?
Kazi kwenu!.
AiseeeeeAko kwa system me enyewe nikiingia huko miezi sita Nina Aston Martin
Watz ss ni wagumu sanaHalafu watu wanashangaa bata analokula irene uwoya? Tozo zenu hizo wanuka vikwapa na bado mtakamuliwa sana hadi muwe vichaa
Sasa kama ishu ilikuwa kuongezwa mshahara hio nyongeza mlioambiwa ni 23% imewafikisha wapi? Magufuli alipunguza paye tu, huyu amelngeza elfu nane akarudishs elfu 15 kwa tozo kuna lipi la maana? Au ufahari tu kuwa mama aliongeza mshaharaSijapinga maendeleo yaliyofanyika bali kujali maendeleo ya upande mmoja pekee,
Baba ako ana ela anajenga majumba kila mahali, magari kila aina shule anakusomesha ya kata, hajali mavazi yenu familia kila akiombwa ela anadai anajenga kwanza, miaka 6 bila kuongezewa mshahara wakati vitu vinapanda bei kila uchwao?
Ndio maana mliona watu wanalia vyuma vimekaza
Wenzako walipokuwa wanahangaika kuhakikisha uchaguzi wana shinda 100% iwe maji iwe damu wewe si ulikuwa umelala tu nyumbani na rafiki zako.Nawasalimu Wakuu,
Nchi inaenda pabaya Wakuu, TISS msaidieni mama..,. Hivi inakuwaje Waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?
Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?
Kazi kwenu!.
Whistle awe makini tu.Acheni kumshambulia whistleblower! Yeye kapuliza kipenga TU ni juu yenu kuingia field mtuletee hayo maushahidi hapa. Acheni uvivu wa kuusaka ukweli!
Taarifa inapingwa na taarifa si matusi na kejeli!!Leta taarifa ya ushahidi kwamba kakuibia kibaka weye!😂😂😂
Anaiba anatapanya kwenye timu yake... na kwenye mabasi yake!Ni aibu kubwa sana kwa mamlaka yake ya uteuzi
Si kama ile Plea Bargain !Anaiba anatapanya kwenye timu yake... na kwenye mabasi yake!
Kuna wakati nawaza hata hizi tozo zinaelekezwa kwenye akaunti isiyo rasmi!
Nawasalimu Wakuu,
Nchi inaenda pabaya Wakuu, TISS msaidieni mama..,. Hivi inakuwaje Waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?
Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?
Kazi kwenu!.
Mbona hela ndogo iyo? Dollar million nne tu. Pagani Zonda yangu hapo chini used ni 4.5 million USD ikiwa mpya 8-10 million USD.2OO,OOO,OOO X 6O = 12 BIllions katoa wapi?
Mamlaka kazi kwenuNawasalimu Wakuu,
Nchi inaenda pabaya Wakuu, TISS msaidieni mama..,. Hivi inakuwaje Waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?
Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?
Kazi kwenu!.
Kwani na wewe utatumia hela za tozo??Mbona hela ndogo iyo? Dollar million nne tu. Pagani Zonda yangu hapo chini used ni 4.5 million USD ikiwa mpya 8-10 million USD.View attachment 2339242
Ngoja na Mimi nizilete kama 200 hizo Yutong heshima iwepo.
Cc Robot la Matope