Wazee wawili kutoka Tarime wakutana Dar.

Wazee wawili kutoka Tarime wakutana Dar.

Bra-joe

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,861
Reaction score
1,485
Mzee mmoja kutoka Tarime alikuwa ktk matembezi mjini Dar, ghafla alikutana na rafiki yake wa kitambo nae kutoka Tarime akiwa anaongozana na kijana wake, baada ya kusalimiana mzee wa Dar akamtambulisha kijana wake kwa rafiki yake "huyu ni kijana wangu, anaitwa Matuku, anafanya kazi Konoike" yule rafiki yake akauliza kwa hamaki "kwani Konoike ni JESHI gani?"
 
Tehe....tehhh.... So kila mkurya mfanyakazi ni mwanajeshi eeh.... Si kweli
 
Back
Top Bottom