Wazee waliomsaidia Nyerere kuleta Uhuru

Wazee waliomsaidia Nyerere kuleta Uhuru

NostradamusEstrademe

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2017
Posts
3,840
Reaction score
5,096
Kama kichwa cha habari kilivo hapo mnaweza kumtambua nani na nani mimi nimemtambua Nyerere na Mzee Mshumi Kyate.

Huyu mzee Kyate alikuwa mvuvi ndio alikuwa ana jukumu la kulisha familia ya Nyerere mboga kipindi alivyoamua kuacha kazi shule ya Pugu.

Kuna siku moja alikutana na Nyerere pale Fire akiwa ametoka sokoni akampa mboga na shillingi 200.Wakati ule shillingi 200 unaweza kujenga nyumba ya udongo ya vyumba vitano pale Kariakoo
wazee wa TANU1957.PNG
 
Kama kichwa cha habari kilivo hapo mnaweza kumtambua nani na nani mimi nimemtambua Nyerere na Mzee Mshumi Kyate.

Huyu mzee Kyate alikuwa mvuvi ndio alikuwa ana jukumu la kulisha familia ya Nyerere mboga kipindi alivyoamua kuacha kazi shule ya Pugu.

Kuna siku moja alikutana na Nyerere pale Fire akiwa ametoka sokoni akampa mboga na shillingi 200.Wakati ule shillingi 200 unaweza kujenga nyumba ya udongo ya vyumba vitano pale Kariakoo
View attachment 3526680
Wamimsaidia vipi?


Wakati UHURU ulikuwa ni MANUFAA kwa kila MTU???

Kwahiyo hata sasa hivi utasema kuna watu wana msaidia Lissu kupambana na genge la wauaji la CCM???

Wakati Uhuru ni manufaa ya kila mtu???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom