RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,648
- 136,201
- Thread starter
- #19,881
Yes kuna kitu hakiko sawa. Ikishapata moto temperature inakuwa katikati ambayo inaesza kuwa 60-90c kulingana na spec.Bro usikariri Mie gari yangu nzima na kuna muda inasoma 19⁰C hapo inakua haiko nusu kama unavyosema kwa hiyo ni wrong?