National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,197
Mwenye lori lazima aipate tu, hizi Luxury tena kama unaendeshwa aah wala hamna shida unafika fresh kabisa hata mambo mengine una fanyaKabisa nawahurumia wenye malori.![]()
Mwenye lori lazima aipate tu, hizi Luxury tena kama unaendeshwa aah wala hamna shida unafika fresh kabisa hata mambo mengine una fanyaKabisa nawahurumia wenye malori.![]()
Nilishashtukia Mda unashangaa gari Kali mpya namba A alafu zile nyeupe unajiuliza how come?!!?Gari nzuri mpyaa namba A mambo ya ndani, geshi, polisa-disiai-makililii ndio zao.. Ukiona jiongeze hata wakiwa wana ku disturb kwa road..
Ilikuwa gx 100 mkuu zile grandeUlikuwa unaendesha LX?
Muulize saa tisa usiku walikuwa wanatafuta nini 😃😃😃😃😃Hadi namuuliza hivyo muhusika ina maana niko karibu nae.
Kuna moja sijui dereva wake alikuwa chizi magari, nilikuwa na mkweche wangu, ananitanguliza ananipita ukawa kama mchezo vile 😃😃😃Nilishashtukia Mda unashangaa gari Kali mpya namba A alafu zile nyeupe unajiuliza how come?!!?
Leo siku ya pili nipo ndaniMwenye lori lazima aipate tu, hizi Luxury tena kama unaendeshwa aah wala hamna shida unafika fresh kabisa hata mambo mengine una fanya
Kule sio mzee alafu hewa yao kama nzito hivio 😃😃Leo siku ya pili nipo ndani
Njia mbovu Kwa Moro sasaivi nafikili ndo ile mkuu 100k hamna lami.Maanake ile nayo njia mbovu inapenda ila cha moto mtakiona
Duh chuma hiko! Ngoja nikakiamshe kimelala kama miezi 6 sasa

kiamshe mkuu kiludi ulimwenguniKuna moja sijui dereva wake alikuwa chizi magari, nilikuwa na mkweche wangu, ananitanguliza ananipita ukawa kama mchezo vile![]()
kiukweli nikiwa mbele alafu MTU namuweza lazima tupimeNi kweli vumbi mtindo mmoja daily nikienda Kule nakunywa maziwa freshKule sio mzee alafu hewa yao kama nzito hivio![]()
Msala huo! Kama ni raia basi ashukuru kama walimwacha.Kuna dereva mmoja juzi kawafanyia kituko matrafik pale mikese checkpointkasimamishwa akawapelekea gari trafiki bado kidogo trafic apitiwe na Yale machuma yagongwe sema ni control Tu za dereva
WalimuachaMsala huo! Kama ni raia basi ashukuru kama walimwacha.
Nilifanya kazi Ifakara kama miaka 10 iliopita.Ata Mimi huwa nawaza Kwanzia Ruaha pale Hadi road mbovu na mang'ula adi ifakara kibaoni pabovuHadi Leo mgongo haujapoa