Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mkuu tupe mrejesho.
Mkuu nipo salama baada ya ligi kali na IT'S,nipo border kesho ninahamia kwa H&H,ila sikukutana na mzee yeyote wa Road trip, T1 yetu inahitaji bado matengenezo makubwa hasa kati ya Mbeya na Tunduma, kipande cha Igawa hadi Uyole, na we need urgent kazi pale Kitonga Pass, ligi hawakuiweza bcs under the bonnet nilikua na 2.4L,Toyota Hilux model 2018,one full tank kutoka Dar hadi Tunduma,80L thanks
 
Mkuu nipo salama baada ya ligi kali na IT'S,nipo border kesho ninahamia kwa H&H,ila sikukutana na mzee yeyote wa Road trip, T1 yetu inahitaji bado matengenezo makubwa hasa kati ya Mbeya na Tunduma, kipande cha Igawa hadi Uyole, na we need urgent kazi pale Kitonga Pass, ligi hawakuiweza bcs under the bonnet nilikua na 2.4L,Toyota Hilux model 2018,one full tank kutoka Dar hadi Tunduma,80L thanks
Hongera mkuu.
 
Mkuu nipo salama baada ya ligi kali na IT'S,nipo border kesho ninahamia kwa H&H,ila sikukutana na mzee yeyote wa Road trip, T1 yetu inahitaji bado matengenezo makubwa hasa kati ya Mbeya na Tunduma, kipande cha Igawa hadi Uyole, na we need urgent kazi pale Kitonga Pass, ligi hawakuiweza bcs under the bonnet nilikua na 2.4L,Toyota Hilux model 2018,one full tank kutoka Dar hadi Tunduma,80L thanks
Mkuu kwa uzoefu wako Kati ya toyota hilux ,diesel ile ya 2.7cc 2010 na hizo new model za kuanzia 2015 kama hiyo uloendesha ya 2018 , ipi toleo bora na inakimbia zaidi? Mi nauza nissan Navara iko juu ya mawe nataka nikachukue toyota hilux zile za south africa za 2010 ,.pia Kati ya diesel na petrol ipi bora kwa uzoefu wako Mkuu?

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kwa uzoefu wako Kati ya toyota hilux ,diesel ile ya 2.7cc 2010 na hizo new model za kuanzia 2015 kama hiyo uloendesha ya 2018 , ipi toleo bora na inakimbia zaidi? Mi nauza nissan Navara iko juu ya mawe nataka nikachukue toyota hilux zile za south africa za 2010 ,.pia Kati ya diesel na petrol ipi bora kwa uzoefu wako Mkuu?

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Mkuu overall Toyota it's the best bakkie, nashauri chukua toyota hilux sc 2.4 L,model yeyoye from 2017 upwards
 
Bei ya hilux mwaka 2017 bei mbaya Mkuu, labda 2007 ____ 2010 ndo naweza nunua, but thank so much.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Ni kweli ila unusual wa magari SA unategemea factors nyingi, uzuri uwe na muda na bila haraka, repossessed cars ni cheaper hasa kwenye Minada ya kibenki, hizo models unazoulizia unaweza kupata under 60k zar,good luck
 
Mkuu kwa uzoefu wako Kati ya toyota hilux ,diesel ile ya 2.7cc 2010 na hizo new model za kuanzia 2015 kama hiyo uloendesha ya 2018 , ipi toleo bora na inakimbia zaidi? Mi nauza nissan Navara iko juu ya mawe nataka nikachukue toyota hilux zile za south africa za 2010 ,.pia Kati ya diesel na petrol ipi bora kwa uzoefu wako Mkuu?

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Navara imeua nini mkuu hadi ikae juu ya mawe? Na pia unauza pesa ngap?
 
Mkuu nipo salama baada ya ligi kali na IT'S,nipo border kesho ninahamia kwa H&H,ila sikukutana na mzee yeyote wa Road trip, T1 yetu inahitaji bado matengenezo makubwa hasa kati ya Mbeya na Tunduma, kipande cha Igawa hadi Uyole, na we need urgent kazi pale Kitonga Pass, ligi hawakuiweza bcs under the bonnet nilikua na 2.4L,Toyota Hilux model 2018,one full tank kutoka Dar hadi Tunduma,80L thanks
mkuu upo kwenye gang ya IT?
 
Back
Top Bottom