Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Tunaonaga tu lile bango la ban.
Kwanza mimi nakuonaga tu unavyoifuata ban.
Watu wanantafutia Ban tu wala mie sina baya😅 inapotokea mtu anaongea upuuzi mbele yangu inanipa ukakasi!

Ni sawa na mtu anaesema rangi ya school bus ni nyeusi na kutetea uongo huo kwa nguvu mbele ya halaiki ya watu wanaoona ni rangi ya njano. Huwa sina la ziada zaidi ya kulimwa ban tu maana huwa ntamwambia asichopenda kusikia.
 
Watu wanantafutia Ban tu wala mie sina baya😅 inapotokea mtu anaongea upuuzi mbele yangu inanipa ukakasi!

Ni sawa na mtu anaesema rangi ya school bus ni nyeusi na kutetea uongo huo kwa nguvu mbele ya halaiki ya watu wanaoona ni rangi ya njano. Huwa sina la ziada zaidi ya kulimwa ban tu maana huwa ntamwambia asichopenda kusikia.
Mimi huwa nikiona nacheeka,najua tu kinachokufuata ni ban
 
Back
Top Bottom