Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Maana viongozi wanakaa wanawashangaa vijana ambao hatuna ajira..wanasema jiajirini ila mitaji hakuna na wanasema hakuna hela za kutosha kuwapa mitaji.Hahaaaaaa kwa hiyo badala ya nchi, jobless ndio watanadiwa
Kuna mdau
akasema kama vipi watukusanye tu watupige mnada nchi za nje kama mbolea.


