Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Duuh wakuu nimesikia kuna ajali imetokea jioni hii maeneo ya Buigiri basi la Tashriff lililokuwa linatoka Tanga kuelekea Dodoma limegonga bodaboda na kumuua hapo hapo na dereva kakimbia! Eti dereva wa basi alikuwa anajaribu kuyapita magari yaliyokuwa yamesimamishwa sababu ya msafara ndiyo akamvaa huyo bodaboda aliyekuwa anavuka ng'ambo kuelekea kwake!
 
Duuh wakuu nimesikia kuna ajali imetokea jioni hii maeneo ya Buigiri basi la Tashriff lililokuwa linatoka Tanga kuelekea Dodoma limegonga bodaboda na kumuua hapo hapo na dereva kakimbia! Eti dereva wa basi alikuwa anajaribu kuyapita magari yaliyokuwa yamesimamishwa sababu ya msafara ndiyo akamvaa huyo bodaboda aliyekuwa anavuka ng'ambo kuelekea kwake!
Buigiri ,?msafara ukitokea wapi usiku huu?
 
Duuh wakuu nimesikia kuna ajali imetokea jioni hii maeneo ya Buigiri basi la Tashriff lililokuwa linatoka Tanga kuelekea Dodoma limegonga bodaboda na kumuua hapo hapo na dereva kakimbia! Eti dereva wa basi alikuwa anajaribu kuyapita magari yaliyokuwa yamesimamishwa sababu ya msafara ndiyo akamvaa huyo bodaboda aliyekuwa anavuka ng'ambo kuelekea kwake!
Dah apumzike kwa amani🙏....
 
IMG_3159.jpg

Dom-Babati
 
Back
Top Bottom