Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,626
Leo umegeuka tena?Naomba siku moja viumane mie na wewe , hadi barabara iombe pooo.. subaru hakuna maajabu, yangu hadi nimegawia vijana site.. gari ya kijinga sana. Hii wiki inayo anza mda wowote nakinukisha dodoma kwanza then singida